Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wa united wengi wetu ni wanafiki sana.

Wachezaji gani wazuri Ole amewauza akabakiza Makapi ?

Ukiondoa Andre Herera kuna mchezaji gani ambaye kauzwa aliyekuwa anafaa kucheza United ?

Najua unalenga kumzungumzia Lukaku na Sachez mara ngapi humu mlikuwa mkimnanga Lukaku kwa kukosa chances za wazi ?

Tulikuwa tukilalamika msimu uliopita kuwa timu imejaa deadwoods na walitakiwa kuondolewa mpaka sasa Ole kaondoa Deadwoods karibia wote tunaanza kulalamika tena kikosi kidogo ???

Ingekuwa justifiable kumfukuza Ole kama angekuwa ameshafanya Signing ya maana halafu akashindwa kufanya vizuri leo hii yuko kwenye rebuild tunataka afukuzwe tuanze rebuild mpya ??

Tumpe muda mwalimu afanye kazi yake na sisi tubakize jukumu letu la kushangilia magoli na kuumia tunapofungwa.

OLE at the Wheel.
Kocha anauza wachezaji wazuri anaacha makapi halafu anakuwa comfortable kabisa kuanza msimu na kikosi chembamba.

Halafu leo tunaombana tumpe muda. Muda upi anaotaka?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clear formation za Ole ni
4 2 3 1, 4 3 3, 3 5 2, au 4 1 4 1 hizi formation zote amezitumia katika mechi zote alizofundosha united.

Unazungumzia Mourinho aliyekuwa na vita na wachezaji mpaka ikafikia timu haina umoja na wachezaji hawako tayari kuendelea na kocha wakati hata signing zake zilikuwa za wazee na wote hawajafanikiwa kucheza consistently walau kwa msimu mmoja ??

Van Gaal alikuwa na clear vision yes lakini ndiye aliibomoa Man united kwa kiwango kikubwa kiasi cha kuanza kufanya rebuild inayofanyika hivi sasa.

Kimsingi Moyes na Van Gaal projects zao zilikuwa failure pale united ndiyo maana walifukuzwa.

Kwa mwelekeo wa ujenzi wa timu kwa sasa sioni kama kuna sababu za msingi za kuanza project mpya.

Let us give the coach time to rebuild the squad we will be back to glory days soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeamua sasa kutoyumbishwa na hisia na mihemuko..acha nibaki na ninacho kiamini hadi siku nitakapoona hiki kitu hakiwezekani au hiki kitu kimewezekana na tutakuja humu kufukua makaburi


√Tulikuwa tunalalamika humu timu imejaza vilaza,wameanza kuondoka tumeanza kulalamika tena..Smalling tulikuwa tunamtukana kila siku humu,Sanchez,Lukaku(tulikuwa tunasema Man United haijawahi kuwa na mchezaji mwenye first touch mbaya hivi)..sasa hivi tunawatamani tena..No wonder hata Jones akiuzwa tutakuja kulakamika humu"why mchezaji mkali hivi kauzwa"

√Mourinho kaja na alikuwa na timu nzuri kushinda hii ya Ole IMO lakini alishindwa kutupeleka top four..Pogba,Ibrahimovic,Mhiktaryan,Rooney,Herrera,Valencia,Fellaine,Mata etc,msimu uliofuata akapewa Lukaku,Matic,Dalot na Sanchez,tukaingia top four..ila tunataka tufanye maajabu kwa kuwatumia Rashford,Martial,James,Perreira na Lingard

√Tuwe na subra kidogo na Ole..Fukuza Fukuza haiwezi kutusaidia sana

√Ole inawezekana alikosea kutokufanya replacement ya Lukaku lakini naamini ameshaona alikosea na kuna uhitaji wa straiker(temporary straiker kapatikana)..Mbona Pep aliingia sokoni na kumsajili Bravo akachemka,ikabidi tena aingie sokoni??..Haya mambo yapo wakuu

√Tukiwa tunashinda hatuhoji falsafa ya kocha,tukifungwa ndo tunahoji falsafa ya kocha..amaizing stuff




 
Sure
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man united next 13 PL games.

17Feb: Chelsea- A

23Feb: Watford- H

1Mar : Everton- A

8Mar : Man city- H

15Mar: Tottenham- A

21 Mar :Sheff utd- H

4Apr: Brighton - A

11Apr: Bournamouth- H

18Apr: Aston villa- A

25Apr: Southampton- H

2May: Crystal Palace- A

9May: Westham - H

17May: Leicester- A


Man U inahitaji kushinda game 10 kati ya 13, ili kuwa katika Nafasi nzuri ya kuwania nafasi ya nne(UCL spot).

Napata shida ku predict hizo mechi 10 , ambazo Man U anaweza kushinda.

Kiufupi, ili Man U kuingia Top4, inatakiwa awe katika kiwango bora Sana ,sawa na kile cha december 2018.
Na wapinzani wake hapo juu wawe katika kiwango kibovu.

Option 2, ni kubeba Europa league.

Je OLE na Vijana wake wataweza kweli???.

Beggars can't be choosers
 
Lukaku na Ander hawakutakiwa kuondoka wakati hakukuwa na jitihada za kuwareplace.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu swala la OGS anatosha au Hatoshi mimi binafsi nimeliweka kiporo mpaka mwisho mwa msimu ndio ntafanya tathimini, nione ktk standing atamaliza wa ngap pia nione kwenye Europer atabeba au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lukaku na Ander hawakutakiwa kuondoka wakati hakukuwa na jitihada za kuwareplace.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lukaku alitaka kuondoka na alim'face Ole live akamuomba amruhusu asepe, hapa kumlaumu Ole ni kumuonea tu
Ander mkataba wake ulishaisha kipind cha Mou, Ole alivyotaka kumpa new contracts Ander akagoma, akasepa free transfer, pia ktk hili kumlaumu Ole ni kumuonea tu

Ole makosa yake ni kuamini kikosi alichonacho kinaweza fanya vizuri without new signing (ukiondoa Maguire, James n Bissaka) na hili kosa nafikiri kalifanya kutokana na uchanga wa ku'manage big club

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tuna haraka kuiona dira ya chongo. Nitaanza kuwa na mashaka na Ole baada ya kuwezeshwa wachezaji anaowataka then bado timu ikawa ina perform chini ya kiwango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani hivi mnamtaza Grealish kwa jicho kama langu? hatari muda wote wa mchezo

Anatumika kama Sir Alex alivyokua anamtumia Gigs from left wing, huyu mwamba so energy, very creative, huyu ni sawa na Martial watatu

To be honest Grealish anacho offer Astonvilla ni zaidi ya Pogba anacho offer ManUtd, sasa ya nini kumng'ang'ania Pobga wakati kuna Grealish?

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanini madrid, juve, psg, barca hawamtaki Grealish wa bei rahisi?
 
kwanini madrid, juve, psg, barca hawamtaki Grealish wa bei rahisi?
Kwan kila mchezaji mzuri hizo timu hapo lazima zimtake? Na endapo zisipomtaka what it means?
Mbona hizo timu hazimtaki fundi debruyne, it means debruyne wa kawaida?
Kwa uo mtazamo wako basi sir alex asingekua anasajiri wachezaji like Fletcher, Teddy, OGS, Saha, andersin, valencia kwasababu hawakuwai takiwa na psg, madrid, barca, juve

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fletcher ni zao la Academy

Wakati tunawasajili hao kina Sherigham na Solskjaer hatukuwa tukiwafananisha na kina Ronaldo de lima au Vieri

De bruyne wakati yupo timu ndogo (Wolfsburg) na anafanya vizuri aligombaniwa na Timu nyingi tu ikiwemo sisi na City,

Na comment yangu haina mahusiano yoyote ya sisi kumsajili ama Kutomsajili grealish bali tu napinga kwamba hana Ubora wa Pogba,
 
Yawezekana mimi namtazama Grealish wa Manzese siyo wa Aston Villa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…