Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mashabiki wa united wengi wetu ni wanafiki sana.
Wachezaji gani wazuri Ole amewauza akabakiza Makapi ?
Ukiondoa Andre Herera kuna mchezaji gani ambaye kauzwa aliyekuwa anafaa kucheza United ?
Najua unalenga kumzungumzia Lukaku na Sachez mara ngapi humu mlikuwa mkimnanga Lukaku kwa kukosa chances za wazi ?
Tulikuwa tukilalamika msimu uliopita kuwa timu imejaa deadwoods na walitakiwa kuondolewa mpaka sasa Ole kaondoa Deadwoods karibia wote tunaanza kulalamika tena kikosi kidogo ???
Ingekuwa justifiable kumfukuza Ole kama angekuwa ameshafanya Signing ya maana halafu akashindwa kufanya vizuri leo hii yuko kwenye rebuild tunataka afukuzwe tuanze rebuild mpya ??
Tumpe muda mwalimu afanye kazi yake na sisi tubakize jukumu letu la kushangilia magoli na kuumia tunapofungwa.
OLE at the Wheel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji gani wazuri Ole amewauza akabakiza Makapi ?
Ukiondoa Andre Herera kuna mchezaji gani ambaye kauzwa aliyekuwa anafaa kucheza United ?
Najua unalenga kumzungumzia Lukaku na Sachez mara ngapi humu mlikuwa mkimnanga Lukaku kwa kukosa chances za wazi ?
Tulikuwa tukilalamika msimu uliopita kuwa timu imejaa deadwoods na walitakiwa kuondolewa mpaka sasa Ole kaondoa Deadwoods karibia wote tunaanza kulalamika tena kikosi kidogo ???
Ingekuwa justifiable kumfukuza Ole kama angekuwa ameshafanya Signing ya maana halafu akashindwa kufanya vizuri leo hii yuko kwenye rebuild tunataka afukuzwe tuanze rebuild mpya ??
Tumpe muda mwalimu afanye kazi yake na sisi tubakize jukumu letu la kushangilia magoli na kuumia tunapofungwa.
OLE at the Wheel.
Kocha anauza wachezaji wazuri anaacha makapi halafu anakuwa comfortable kabisa kuanza msimu na kikosi chembamba.
Halafu leo tunaombana tumpe muda. Muda upi anaotaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app