mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
Man utd scouting cjui ipoje, yaan hawamuoni huyu Grealish kweli? Ana offer vingi uwanjani, he can score, assist, hard working, winner, inshort anavingi compared to martial, pereira, lingard even jamesSummer uza kirusi, nunua Grealish au Madison
Halafu wakitifue na BF
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wew mtu wa kunyea maongezi tu, ebu nenda kwenye kakikundi chenu kile cha blue kazi kujipitisha sebulen mbele ya wanaume na kanga moja
Baba scouts wanafnya kazi yao, pengine vzr tuu. Tatizo ni la wakubwa kutoa pesa.Man utd scouting cjui ipoje, yaan hawamuoni huyu Grealish kweli? Ana offer vingi uwanjani, he can score, assist, hard working, winner, inshort anavingi compared to martial, pereira, lingard even james
Alafu yule beki anayevaa jezi #4 aliyepandishwa kumrithi maguire anatufaa sana, mtulivu, anapandisha timu, aje aungane na kaka ake maguire
Sent using Jamii Forums mobile app
Ed mjanja anataka kuwatuliza utd fans dhidi ya walichopanga against wolves game, jana ndio kapeleka official bid, siku zote alikua wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Man utd scouting cjui ipoje, yaan hawamuoni huyu Grealish kweli? Ana offer vingi uwanjani, he can score, assist, hard working, winner, inshort anavingi compared to martial, pereira, lingard even james
Alafu yule beki anayevaa jezi #4 aliyepandishwa kumrithi maguire anatufaa sana, mtulivu, anapandisha timu, aje aungane na kaka ake maguire
Sent using Jamii Forums mobile app
FactSema huyu Grealish mzuri wazee..kikosi kinabidi kijazwe na watu wenye quality kama hawa na sio Perreira n.k
Mashabiki kummshambulia edo nyumbani kwake itatia heshimaTukishafungwa na ninyi mnakuja kuitroll Man u hapa?
Mna utofauti gn na fans wa Timu pinzani kama Chelsea, arsenal liverpool etc
Yaani unaiombea timu yako pendwa ifugwe 6 bila na mpinzani wake mkubwa
Sent using simu mbovu
AstonVila lazima wampe mkataba mpya wenye realising clause kubwa, wanafaham summer hatokua mchezaji waoSema huyu Grealish mzuri wazee..kikosi kinabidi kijazwe na watu wenye quality kama hawa na sio Perreira n.k
Message sent jamaa mpuuzi San . Anawafanyia kaz matajiri anatuacha tukipata pressureBaadhi ya mashabiki wa ManUtd wamevamia nyumba ya Woodward kufanya vurugu usiku wa kuamkia leo, inasekana ndani hakukua na mtu ila message sent
Na wakitoka nj'e half time dhidi ya wolves nafikiri ujumbe utakua umeeleweka mpaka kwa kina Glazer
Sisi sio wa mchezo mchezo, tulishawai kumpitishia ndege kibaraka moyesView attachment 1338998View attachment 1338999
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh..watu wamevurugwa.Baadhi ya mashabiki wa ManUtd wamevamia nyumba ya Woodward kufanya vurugu usiku wa kuamkia leo, inasekana ndani hakukua na mtu ila message sent
Na wakitoka nj'e half time dhidi ya wolves nafikiri ujumbe utakua umeeleweka mpaka kwa kina Glazer
Sisi sio wa mchezo mchezo, tulishawai kumpitishia ndege kibaraka moyesView attachment 1338998View attachment 1338999
Sent using Jamii Forums mobile app
Game ya Wolvers mtashinda na game ya City mtashinda then mtasema wenyewe OGS & Eddy IN baada ya hapo ni msoto mkali....Baadhi ya mashabiki wa ManUtd wamevamia nyumba ya Woodward kufanya vurugu usiku wa kuamkia leo, inasekana ndani hakukua na mtu ila message sent
Na wakitoka nj'e half time dhidi ya wolves nafikiri ujumbe utakua umeeleweka mpaka kwa kina Glazer
Sisi sio wa mchezo mchezo, tulishawai kumpitishia ndege kibaraka moyesView attachment 1338998View attachment 1338999
Sent using Jamii Forums mobile app