Elewa kwanza motive yangu ni nini mkuu.ile faulo.aliyofanya van dyke ipo wazi mno hata yeye mwenyewe reaction yake tu alijua ni faulo iweje refa aliacha???Aisee goli mbili zmekataliwa hafu unasema tunabebwa
Kubali timu yako ni mbovu shida iko wapi haswa aisee.
Mbona mnakua wajinga hivi
Like not mtu unayefuatilia mpira mtu wangu wa nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani tunachomis ni viungo/kiungo mbunifu wa kupiga dangerous pass kwa kina Martial, Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi, nafikiri Sir Alex uko alipo anaweza fikiria kurudisha majeshi vitani (natamani Sir Alex arudi japo misimu mitatu tu)
Please Woodward izinisha usajiri wa viungo wawili wabunifu tu, then ndio tuanze kumlaumu huyu OGS
Leo endapo angekuwepo Pogba, Scot na Rashfod Liverpool wasingeamini kingechotekea
Martial kule mbele ana uchu sana ila mipira nadra kumfikia, mpaka namuonea huruma
Tunaitaji viungo wanyumburifu kama Schoses, kama Super Gigs
Hivi kina Glazer na Woodward hawaoni sisi tunachoona kweli?
Hii HT Ole amtoe Luke Shwa aingie fundi Juan Mata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna viungo wakusogezea mipira kwa kina Martial, sisi tatizo letu kubwa ni viungo wabunifu aina ya Pogba
Shida ndio hapo, pamoja na mapungufu tuliyonayo bado tunafikiria kusajiri
Ndugu.. hali hii Inatia hasira sana.
DuhPereira angetoka sijui anafanya nini mpaka muda huu au Ole anatoka na Mama yake.
Siyo tu kupotea yaani tumepoteana jumla jumla.Tumepotea kabisa
Huelewi kwanini wanaongoza league? Tena kwa tofauti ya mapoints kedekede.Yaani tunachomis ni viungo/kiungo mbunifu wa kupiga dangerous pass kwa kina Martial, Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi, nafikiri Sir Alex uko alipo anaweza fikiria kurudisha majeshi vitani (natamani Sir Alex arudi japo misimu mitatu tu)
Please Woodward izinisha usajiri wa viungo wawili wabunifu tu, then ndio tuanze kumlaumu huyu OGS
Leo endapo angekuwepo Pogba, Scot na Rashfod Liverpool wasingeamini kingechotekea
Martial kule mbele ana uchu sana ila mipira nadra kumfikia, mpaka namuonea huruma
Tunaitaji viungo wanyumburifu kama Schoses, kama Super Gigs
Hivi kina Glazer na Woodward hawaoni sisi tunachoona kweli?
Hii HT Ole amtoe Luke Shaw aingie fundi Juan Mata
Sent using Jamii Forums mobile app
Scott na Rashy waliwapa points ngapi tulipokuja hapo kwenu?Yaani tunachomis ni viungo/kiungo mbunifu wa kupiga dangerous pass kwa kina Martial, Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi, nafikiri Sir Alex uko alipo anaweza fikiria kurudisha majeshi vitani (natamani Sir Alex arudi japo misimu mitatu tu)
Please Woodward izinisha usajiri wa viungo wawili wabunifu tu, then ndio tuanze kumlaumu huyu OGS
Leo endapo angekuwepo Pogba, Scot na Rashfod Liverpool wasingeamini kingechotekea
Martial kule mbele ana uchu sana ila mipira nadra kumfikia, mpaka namuonea huruma
Tunaitaji viungo wanyumburifu kama Schoses, kama Super Gigs
Hivi kina Glazer na Woodward hawaoni sisi tunachoona kweli?
Hii HT Ole amtoe Luke Shaw aingie fundi Juan Mata
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimemkumbuka sana yule babu LVGhii timu ukimwambia mtu kuwa kwanini dakika hizi 50 hatujapiga pasi 6 sahihi anaweza akabisha ila ndo ukweli hatuwezi piga pasi hata 3 zenye uhakika alafu unaanza sema kocha anafanya rebuild yani angekuwa van gal hii game hata droo tungepata
Sent using Jamii Forums mobile app