radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Binafsi naamini Man Utd ni watu wenye uwezo wa kubattle kwenye transfer market, kama kocha akiamua kuwa strict kwamba namhitaji huyu na huyu ili nifanye vizuri ni very obvious kwamba atapewa wachezaji hao.
Changamoto kwa coaches ambao hawaja prove ni kujaribu kubalance mahesabu kwa kununua low price players ili akinunua kama 6 watatu wakafanya vizuri basi anakuwa pressure siyo kubwa.
Tulikutana na case ya namna hiyo kwa Brendan Rodgers, baada ya kumuuza Suarez, badala ya kutafuta mchezaji wa caliber ya Suarez alienda kuzoa kina Balloteli, Rickie Lambert, Can, Lallana, Danny Ings, Lazar Markovic, Moreno nk. Kati ya zaidi ya 18 aliowanunua baada ya Suarez kuondoka ni Gomez, Firmino na Milner ndo wamekuwa regulars first eleven. Which is poor rate.
Proven coaches ana demand mchezaji mmoja wa bei, ambaye anajua atabeba timu, na iki-backfire, ni in course of business. Ndo maana Klopp aliweza kutoa 75m kwa VVD, then 60+ kwa Alisson, and they have turned out to be the best. Wakati hiyo 140 Rodgers angenunua magarasha kama 8 hivi.
OGS bado sana, na ninaweza kusema hakuna atakapoipeleka hii timu, hana command.
Ila kweli kwenye usajili tupo vibaya sana hili linaweza kumferisha sana kocha wetu hata zidane safar hii katumia pesa timu yake imekaa sawa