Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una degedege wewe, uliposema umewahi kuifunga United goli 8 ndio nilipokudharau

Ukakimbilia ukasema goli 6 bila reference nikaona hamna mtu hapa

Nikakupa changamoto ya makombe uliyochukua kwenye EPL ukakimbilia Google ndio unakuja sasa hivi

Hopeless kichwa maji kabisa
Ninazo 13.... Nakushangaa wewe unayesema sijafikisha 8….Tatizo unaweweseka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una matatizo mkuu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikir mm nategemea google na YouTube kama wewe... Ww fuatilia tu timu yako hujui kitu kuhusu timu za wengine.... Eti nakumbuka 2001 na ukiulizwa huo mpira uliangalizia wapi hujui.....
 
"Simjui Robin na Robin hanijui mimi, hana mamlaka na nguvu ya kunikebehi kwa namna anavyofikiria hiyo sio sawa, namna yangu ya utawala na misimamo yangu haiwezi kubadilika," amesema Ole Sendeka.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna kocha pale..kocha kafungwa hlf anakenua meno yote nje!
He pretends to be more optimistic with the club always..
 
Nyie mashabiki wa arsenal mnaoweka kelele humu tulieni, hamuoni ndugu yenu Aaron kashika adabu.

Kushinda mechi moja kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…