Sijawahi kukukwepa mzee....mimi mbona nipo poa sana,mara nyingi nikiona mtu ninayeargue nae kachemka namuacha apoe kwanza....maana najua athari zake....Kuna kipindi ulikuwa unazikwepa comments zangu, hongera kwa kuwa na positive mood kwa sasa Arsenane
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mshabiki halisiTimu yetu imekuwa ya kawaida Sana, Jambo la msingi mashabiki tu kupunguza expectations.
Man u siyo timu tena yakupigania ubingwa wa EPL,tuizoe hii hali tutafurahia.
We're not a decent club anymore,let's just embrace this and be happy.
1,1,2020.......yaani huu mwaka wa raha sana,Umenikumbusha 2001, nilivyokuchomeka 6, Yorke akitupia hat trick, Captain Keano, Solskjaer na Sherigham kila mmoja akitupia goli moja moja
Sema hicho kipigo huwa nakisahau sahau maana kuna kikubwa zaidi cha 8
Sent using Jamii Forums mobile app
Imebaki storeee... Storeee..store
Wewe ni mbwa wa kufugwa sahivi... Tulia mabwana zako waje wakununue tena.
Utaua bure huyu mtu ukiwa unakumbushia hizi zahma. Huko aliko atakuwa amejifungia chumbani kwanza alie weeee kisha ndo arudi tena kukomenti
Jimmy delicious wa mwaka huu anajulikanaWewe ni Jimy delicious wa kutobolewa back,
Mke wa Man U japo unavaa suruali, ki delicious si unajua tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe man u na arsenal hata kama ni za 1960's bado ni man u na arsenal... Ndo maana tunahifadhi rekodi... Mkileta vihistoria vyenu na ss tunaleta ya kwetu..Huyo hajielewi, na hiyo mechi aliyotufunga 6 ukimuuliza, ilikuwa lini na waliofunga ni akina nani hajui, kwa sababu haipo
Yaani anabumba bumba tu, hana uelewa wawote wa mpira zaidi ya kubumba bumba ndio maana nilimdharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe man u na arsenal hata kama ni za 1960's bado ni man u na arsenal... Ndo maana tunahifadhi rekodi... Mkileta vihistoria vyenu na ss tunaleta ya kwetu..
Premier ninazo ngapiHuna historia ya maana, kwa hiyo kuleta historia ni kujikaangaa tu
Huna UCL, umepigwa 8, premier huna hata 8,sasa utajisifia historia gani
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lenu mnaongea sanaa. kubalini kichapo kitakatifu mlichokipata. na bado mechi zingine ndio mtampa lawama ole sendeka
Point mkuu usajili wa hizi timu zetu hovyo sana maana ukiangalia timu kama leicester city angalia usajili wao ni wa ki mpira zaidi ila sisi united ni jez tu kuuza bora hata chelseaUkweli ni kwamba Man u ilikwama kwenye USAJILI WA WACHEZAJI. Man u miaka ya karibuni imetumia pesa nyingi sana kwenye usajili lakini walisajili majina maarufu kujaza nafasi.
Hapo ndipo Klop alipotupiga bao, klop amesajili wachezaji kimkakati na kufit kwenye mfumo wake.
Mi nadhani pamoja na hizi club kuwa na wakurugenzi wa ufundi pia tuajiri makocha wenye macho ya kupendekeza wachezaji wakaofit kwenye falsafa yake.
Kwanini kila siku tunagombania kununua wachezaji dotmund, athetico, ajax wao wana nini special kinachopekea kusajili wachezaji vipaji halafu miaka 2 au 3 vinagombaniwa sokoni.
Wakati hizo timu zingetakiwa zitutegemee sisi vilabu vikubwa tuwauzie wachezaji vipaji ambao hawapati namba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikusaidie trend ya ole hizo mech kufungwa sio rahisi kama unavyofikir arsenal kashinda mech ya tatu ambapo tulitoka kushinda mech mbili ole hajashinda mech 3 mfululizo ina maana kama arsenal ingekuwa mech yetu ya pili angetandikwa arsenal huwa anashinda mech mbili ya tatu kichapo inayofuata suluhu angalia hizo mambo kamfunga city na spurs alinusurika kufungwa na everton mech ya tatu kama leo atafungwa na wolves ina maana mech tatu zijazo anashinda amini nakwambiatatizo lenu mnaongea sanaa. kubalini kichapo kitakatifu mlichokipata. na bado mechi zingine ndio mtampa lawama ole sendekaView attachment 1311921
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lenu mnaongea sanaa. kubalini kichapo kitakatifu mlichokipata. na bado mechi zingine ndio mtampa lawama ole sendekaView attachment 1311921
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamojan a kwamba sipend solskjaer afukuzwe ila hizo ni dalili za kocha tulie nae ni wa daraja la kati mtu wa kupigania nafasi za 8 hadi 15 maana kwa jinsi chelsea alivyopotea hapo kati alitakiwa kupita lakin anahangaika sana arsenal aliyumba mno toka mwez wa 10 kwa sasa tofaut ni point 4 tu wakat chelsea na sisi ni point 5
Na kocha wetu ana muda hii timu sijui anakwama wapi
Mkuu hao wachezaji wa Man sio wabovu kabisa, akina Freddy, Sanchez, Lukaku, Martial, Pogba, Shaw wana ubovu gani? Tatizo ni management nzima ya timu na kocha.Point mkuu usajili wa hizi timu zetu hovyo sana maana ukiangalia timu kama leicester city angalia usajili wao ni wa ki mpira zaidi ila sisi united ni jez tu kuuza bora hata chelsea
Ninazo 13.... Nakushangaa wewe unayesema sijafikisha 8….Tatizo unaweweseka sana