SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Sijakulipenda ndio nini kiongozi?Siwezi kuihama man utd lkn kilichotokea na asernal sijakulipenda
SijakipendaSijakulipenda ndio nini kiongozi?
Sijakipenda
Hahahaha bango ni kubwaWe toka uujue mpira umewah kusikia hii timu haijafungwa? Sema jana ilikuwa ni siku ya vibonde hata aston villa na wataford walishinda huwa kwenye ligi inatokea hasa kwa timu zinazogombea kuto kushuka daraja mwenzio west ham katakata pia nne bila
Wewe....hawapendi wenyeweEti jana mnaenda Emirates mmevaa kanga moja imelowa maji, mnajipitisha mbele ya wanaume huku mnatingisha wowowooo. Mnategemea nini zaidi ya kukalia rungu za max gud gud.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa ni kawaida tu kwani sisi ni ndugu mkuu,
Hivi hii lugha gani????Siwezi kuihama man utd lkn kilichotokea na asernal sijakulipenda
Hapa ni mbugani mzee,hivyo hiyo ni lugha ya wanyama aina ya nyumbuSijakulipenda ndio nini kiongozi?
Na sio 29 janMechi zetu 8 zijazo, kwa trend hii ya uchezaji, mwezi huu utakuwa mgumu sana
Wolves (Away) - 04, Januari
Manchester City (Home) - 07,Januari
Norwich City (Home) - 11, Januari
Liverpool (Away) - 19, Januari
Burnley (Home) - 22, Januari
Manchester City (Away) - 29, Januari
Wolves (Home) - 01, Februari
Chelsea (Away) - 17, Februari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa ni kawaida tu kwani sisi ni ndugu mkuu,
Wanafamilia wa soka....
Pole NYUMBU
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi hapo kwenye game ya man cty na man u epl mbona itakuwa 7 march Na sio 29 jan
Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya matatizo ya MUFC kwenye usajili na kutokuwa na kocha,Pogba anastahili kuuzwa tu. Kocha yeyote hata Ole akifukuzwa,hawezi kuja akajenga timu chini ya mchezaji kama Pogba. Anaonekana mjivuni sana na ataleta mtafaruku katika timu. Mou alikuwa sahihi ila tukamuona mjinga,Pogba ni kiburi na mjivuni. Piga bei, nunua viungo wawili wapiga kazi. Ila ajabu kwa hiki kitimu ni pale atapouzwa halafu pesa iwekwe mfukoni au waanze kutafuta wachezaji wa mia mbili kutoka west ham. 😂😂 |
AmeenWauze uchafu tu huo kama hana mapenzi ya kituo anachofanyia kazi bora asepe tu... Yeye pamoja na wakala wake wote w*s*ng*
Kuanzia sasa iwe mwisho kufanya dili na Mino Raiola
Sent using Jamii Forums mobile app
Madison na Gealish ndio walengwa kwa dirisha hili
Licha ya matatizo ya MUFC kwenye usajili na kutokuwa na kocha,Pogba anastahili kuuzwa tu. Kocha yeyote hata Ole akifukuzwa,hawezi kuja akajenga timu chini ya mchezaji kama Pogba. Anaonekana mjivuni sana na ataleta mtafaruku katika timu.
Mou alikuwa sahihi ila tukamuona mjinga,Pogba ni kiburi na mjivuni.
Piga bei, nunua viungo wawili wapiga kazi. Ila ajabu kwa hiki kitimu ni pale atapouzwa halafu pesa iwekwe mfukoni au waanze kutafuta wachezaji wa mia mbili kutoka west ham.
Huyu mzee anataka kujenga timu ya taifa ya uingereza kwa hizi targets zake