We toka uujue mpira umewah kusikia hii timu haijafungwa? Sema jana ilikuwa ni siku ya vibonde hata aston villa na wataford walishinda huwa kwenye ligi inatokea hasa kwa timu zinazogombea kuto kushuka daraja mwenzio west ham katakata pia nne bilaHili povu...mdau yeye ana furaha tu kuwa amukukunyuga jana basi.
Hayo mengine sidhani kama alikuwa anayahitaji sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipofu kaona mwez daaa kayataka oleYaani nimecheka sana...yaani wewe ndio unalazimisha wakutolewa na kuingia....nyumbu bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia nshakufanya kama mlamba miguu yangu vile...View attachment 1310132
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sipingani na ww huu ni uchafu hata norwich hachez huyu hana namba mi nahisi uchaw upo ulaya fikiria lukaku anapondwa kila uchwao hii takataka ipo tu had leo kazidiwa magoli na smalling na lindelof kwa mwaka 2019Cheki hapa wewe..... Here is Lingard vs UchafuView attachment 1310137
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafaham maumivu yako mshabiki wa chelseaEti jana mnaenda Emirates mmevaa kanga moja imelowa maji, mnajipitisha mbele ya wanaume huku mnatingisha wowowooo. Mnategemea nini zaidi ya kukalia rungu za max gud gud.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hivi vitoto vya kiingereza ni majanga.... Siunaona hata huku kwetu Willock majanga matupu na wanawaamini, halafu wanaoumia ni mashabiki.... Kama mm Jana nilivyoona tu lineup nikapata confidence... Sio muda wa kubebana huu.., kama huna kiwango,second half ndo utaingia...Hapa sipingani na ww huu ni uchafu hata norwich hachez huyu hana namba mi nahisi uchaw upo ulaya fikiria lukaku anapondwa kila uchwao hii takataka ipo tu had leo kazidiwa magoli na smalling na lindelof kwa mwaka 2019
Subiri mwezi wa 8 ligi likianzaMou siku zote msimu wa kwanza anakuwa hayupo vizuri.
View attachment 1310104
Ikasaidia wewe kuwa underdog
Wewe ushagongwa rungumax 2 tulia......next station is CP.
NYUMBU NI NYUMBU TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ww uko chini ya dog mwenyewe... UNDERdog
Mancity na Leicester vepeeeWe toka uujue mpira umewah kusikia hii timu haijafungwa? Sema jana ilikuwa ni siku ya vibonde hata aston villa na wataford walishinda huwa kwenye ligi inatokea hasa kwa timu zinazogombea kuto kushuka daraja mwenzio west ham katakata pia nne bila
Halafu mbona anaanza kufanana na Mou!? Ha ha ha atatuumiza sana huyu mwalimuHv ulishawahi kumuona Ferguson akicheka pale United inapopoteza?Ferguson alikuwa anaonyesha hisia fulani ambazo zilikuwa zinaonyesha wazi amekasirika.Alikuwa mpaka analaumu waamuzi na kutoa lugha kali.Alishawahi kusema kwenye press conference 'nashangaa leo mwamuzi alikuwa hawezi kukimbia kwenda na kasi ya mchezo.Nadhani alikuwa ameshiba sana lunch.'
Alipigwa faini na kufungiwa mechi alipotoa hii kauli.Labda ndio maana watu wengi mpaka leo wanaamini kwamba United ilikuwa inabebwa na waamuzi lakini press conference ndiyo inatoa picha halisi ya aina gani ya kocha aliyepo kwenye timu.
Ole Gunnar Solskjaer jana kwenye press conference alionyesha wazi kwamba anaishukuru 'mizimu 'iliyompa bahati ya kuwa kocha wa timu kubwa kama United.Alisema 'pamoja na kupoteza tulicheza vizuri 'huku akitabasamu.Tena sio kwa tabasamu la kawaida kawaida tu. Tabasamu lile wazungu wanaloita 'genuine smile kama anavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Usingeweza kuona kitu kama hiki kutoka kwa Ferguson.Siku ambayo United ingepoteza dhidi ya Arsenal ungemuona tu akiwa amefura macho mekundu 'kwa kweli tulikuwa ovyo sana leo tumeruhusu magoli rahisi sana'.Lakini asingeweza kuongea hivyo huku akiwa anatabasamu wakati ametoka kufungwa na Arsenal.United mara nyingi huifunga Arsenal iwe Emirates au Old Trafford.
Ole Gunnar Solskjaer ana bahati kubwa kuifundisha United. Ni kijana wa Carrington.Ni United 'through and through na anapokaa kwenye bench washabiki wote wanajifeel wapo na mtu mwenye damu ya United Lakini ni muhimu awe halisi na asiwe kama muigizaji mbele ya vyombo vya habari.View attachment 1309982
Sasa hivi Rashford sio wa kuzingua tena, ameshakuwa mtu mzima, hata makalio yake yameongezeka ukubwa, ni wakati wake kuibeba timu mgongoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ww uko chini ya dog mwenyewe... UNDERdog
Sasa wewe nyumbu, ni mara moja tu umefanikiwa kumaliza juu ya Arsenal toka Sir.Alex kaondoka, afu unadharau namba 5 na 6 wakati ndio zako kila siku5 na 6 mentality za arsenal bana
Hivyo sasa...... Tulia wewe mbwa mdogo usibishane na wababe wako....