Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Hahahahah nimekupata mkuu kwahyo no bora tuachane na kirusi ambaye haelewiki halafu tuvute kijana mwingine?Kwangu bola ni jue kuwa mchezaji wangu ni baridi/mbovu kuliko vuguvugu/haeleweki/ Sina uhakika na kiwango chake
Hayo ndio maneno 😂😂Hahahahah nimekupata mkuu kwahyo no bora tuachane na kirusi ambaye haelewiki halafu tuvute kijana mwingine?
Basi kama in hivo tumuamini kirusi kwenye no 10 maana Fred na Scott wako serious sana siku hiziPogba anahitaji uwanjani wote wawe serious ili wawe wanasahihisha makosa yake mara kwa mara.
Pereira anacheza kwa tahadhari sana kuliko Pogba lakini naye wakati mwingine maamuzi yake ya mwisho mengi siyo sahihi.
Mara nyingi anafanya maamuzi kwa haraka sana au kwa kuchelewa sana hivyo kupoteza nafasi za timu kufunga.
Basi kama in hivo tumuamini kirusi kwenye no 10 maana Fred na Scott wako serious sana siku hizi
Huyu Pereira naye anaumuhimu wake hasa kwenye set piece (kona) japo hatuzitumii vizuri maana hatuna mpiga kona mwingine mzur ukiondoa yeye na mata
Hivi Scott yupo fiti?Basi kama in hivo tumuamini kirusi kwenye no 10 maana Fred na Scott wako serious sana siku hizi
Huyu Pereira naye anaumuhimu wake hasa kwenye set piece (kona) japo hatuzitumii vizuri maana hatuna mpiga kona mwingine mzur ukiondoa yeye na mata
Hata diamond style fresh tu, uzuri pobga ananyumbulikaMi mwenyewe nafikir hivyo hivyo pereira ampishe pogba kidogo fred na scott wabak palepale pogba apewe 10
hahahahahahaha hii chuki sio poaMadaktari wametoa taarifa kwamba kulingana na injury aliyopata POGBA anawezwa KUKATWA MGUU.
We! Acha mambo yako, uchawi huu haufai.Madaktari wametoa taarifa kwamba kulingana na injury aliyopata POGBA anawezwa KUKATWA MGUU.
NgapiOllachuga ana taarifa kwamba Rashy katupia tena?
Uzuri ni kwamba dean hatacheza, tunatakiwa tusiruhusu goal, ila wakituanza tu tutakuwa na hali ngumu sana.Match against Sheffield United itakuwa nzito sana..Wameruhusu goli tisa tu msimu huu
Na ndani ya mechi 60 za mwisho walizocheza,mechi walizofungwa walifungwa kwa idadi isiyozidi goli moja..
Inabidi tujipange vizuri jumapili..maana kila tukikutana na timu zinazokaa nyuma inakuwa shughuli kwelikweli kufurukuta..
Yaah ni kweli Dean Henderson hatocheza..De Gea akianza kuchoka tumrudishe huyu kipa wetuUzuri ni kwamba dean hatacheza, tunatakiwa tusiruhusu goal, ila wakituanza tu tutakuwa na hali ngumu sana.
Match against Sheffield United itakuwa nzito sana..Wameruhusu goli tisa tu msimu huu
Na ndani ya mechi 60 za mwisho walizocheza,mechi walizofungwa walifungwa kwa idadi isiyozidi goli moja..
Inabidi tujipange vizuri jumapili..maana kila tukikutana na timu zinazokaa nyuma inakuwa shughuli kwelikweli kufurukuta..
walifungwa goli 1Kwani game ya Liverpool haikuwa 2-1?
Au nimechanganya mafaili
wana defence nzuri lakini wana safu dhaifu ya ushambuliaji, wameruhusu magoli 9 lakini wamefunga magoli 13.Uzuri ni kwamba dean hatacheza, tunatakiwa tusiruhusu goal, ila wakituanza tu tutakuwa na hali ngumu sana.
Kwani game ya Liverpool haikuwa 2-1?
Au nimechanganya mafaili[/QUOT...
Walifungwa moja bilaKwani game ya Liverpool haikuwa 2-1?
Au nimechanganya mafaili