Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
AGENDA ZA CHELSEA
1. Kupambana kubeba epl throphy
2. Kupambana kubeba UCL trophy
AGENDA ZA MAN U
1. Kuifunga Chelsea
2. Kuifunga Chelsea
Kesho manure wanapakatwa
Yet Chelsea inazidi kuimarika defensively, sivyo ilivyoanzaNi kuwaonea Man kuwalinganisha na Chelsea yenye vikombe viwili vya epl ndani ya hiyo miaka 6 na kombe la Europa na FA
Kuwalinganisha na man u yenye vikombe viwili vya FA na Europa katika hiyo miaka sita.
Ukiangalia kikosi cha Chelsea kina wachezaji karibia 9 ambao wamekuwa pamoja kwa misimu mitatu mfululizo while kwa united hawazidi wanne.
Chelsea hawajasumbuliwa na majeraha kwa key players toka season imeanza kuliko man United.
Ni kweli kwamba chelsea kuna wachezaji wachanga pia lakini wamezungukwa na watu wa aina gani ?
Chelsea wanashinda mechi kutokana na uwezo wao mzuri wa kushambulia while their defence is weak.
Sisi tunapoteza mechi nyingi kwa goal moja bila that means tuko weak kwenye kushambulia.
Jamaa alikuwa na passion sana na Man U,ila hiyo mistari miwili ya mwisho inaumiza sana
Kwani ninyi Man united munacheza lini? Kwanza mupo nafasi yan ngap vile...!!!
Leo tunacheza saangapi mkuu?
Haha hahaha na leo mupigwe tu ili mupate akili zaidi ...huu msimu naona kabisa mukipambana mutaishia nafasi ya 11 au 12 hivi hahaha ..Tunachezea wowowo la chelsea
Na ndio ukweli kwa sasaJamaa alikuwa na passion sana na Man U,ila hiyo mistari miwili ya mwisho inaumiza sana
Na zikitimia utafanyaje ...
Mbona chelsea wanacheza vizuri sana..sisi tunakwama wapi??
√Wana wachezaji wazuri kutuzidi kwenye kila idara au vipi??
√Wana mwalimu mzuri au nini??
Maana wanacheza kama timu kweli yenye mipango..
Reece James,Mason Mount,Abraham,Tomori,Zouma=On paper hawa si wakawaida tu??...sisi tunakwama wapi??
Saa 17 mkuu
Mbona unalazimisha sana kuwa na kipaji cha unabii nakati ulishachemka kitambo tu kuwa Chelsea itabakia kukaa nafasi ya 10 - 15 ktk msimamo wa EPL 2019/2020?Kulingana na Bango lako:-
√ Ajenda za Man United zimetimia kwa 100%
× Ajenda za Chelsea hazitotimia Kuwa 100%
Kwahiyo mumefeli kwasababu mumejipangia ajenda ambazo haziwezi kutekelezeka.
Hahaaa...hivi hiyo picha ni halisi au Watu wameikorombweza ili wawakejeli Arsenal?ARSENAL anawatakia kilalaheriView attachment 1259323
Haha hahaha na leo mupigwe tu ili mupate akili zaidi ...huu msimu naona kabisa mukipambana mutaishia nafasi ya 11 au 12 hivi hahaha ..
Mbona unalazimisha sana kuwa na kipaji cha unabii nakati ulishachemka kitambo tu kuwa Chelsea itabakia kukaa nafasi ya 10 - 15 ktk msimamo wa EPL 2019/2020?
Nitajuaje kama ni Aaron na ma-ID feki haya , Je kama ni wewe mwenyewe?Kwahiyo Post za Aroon unazihamishia kwangu sio?