"let hope for best, expecting the worse, how go they drop a bomb OT"Since there is life,there is hope. Let us hope for the best.
Kaumia tuanzebe kwenye warm up, majanga juu ya majanga.Tuanzebe n mtulivu sana namkubal sana jamaa
Leo tutazibuliwa...tusubir muda utoe hukumu!Here we go.... View attachment 1239346
Nimehuzunika sana Tuanzebe kuumia katika warmup. Jamaa yuko makini sana, lakini kaingia Rojo badala yake nae huyu ni mgumu sio mbaya sana.Tuanzebe n mtulivu sana namkubal sana jamaa
Nimehuzunika sana Tuanzebe kuumia katika warmup. Jamaa yuko makini sana, lakini kaingia Rojo badala yake nae huyu ni mgumu sio mbaya sana.
Kuna jamaa ametuma ngoja nimtafute hapo chin uionewakuu naomben link ya game asee...
Mkuu United haifungwi na hawa wakubwa hata siku moja. Leo nina uhakika sana na ushindi lakini anaenipa pressure ni Fred pekee ndio uchochoro hapa.Leo tutazibuliwa...tusubir muda utoe hukumu!
Hakuna rangi tutaacha ona
Mkuu hizi link zipo pia hadi sio vzur8.... UbarikiweLivestream
Manchester United vs Liverpool
Mobile
مانشستر يونايتد ضد ليفربول مواجهه ساخنه على الاولد ترافورد
اليونايتد الجريح امام قطار الريدز المنطلق يدخل مانشستر يونايتد المباراه وهو فى مستوي سيئ جداً مع العديد من الغيابات فى صفوف ال...t.co
موعد مباراة ليفربول ضد مانشيستر يونايتد والقنوات الناقلة .. قمة الأسبوع التاسع من منافسات الدوري الإنجليزي يوم الأحد 20 أكتوبر 2019
موعد مباراة ليفربول ضد مانشيستر يونايتد والقنوات الناقلة قمة الأسبوع التاسع من منافسات الدوري الإنجليزي يوم الأحد 20 أكتوبر 2019 ...t.co
Computer
مانشستر يونايتد ضد ليفربول مواجهه ساخنه على الاولد ترافورد
اليونايتد الجريح امام قطار الريدز المنطلق يدخل مانشستر يونايتد المباراه وهو فى مستوي سيئ جداً مع العديد من الغيابات فى صفوف ال...t.co
موعد مباراة ليفربول ضد مانشيستر يونايتد والقنوات الناقلة .. قمة الأسبوع التاسع من منافسات الدوري الإنجليزي يوم الأحد 20 أكتوبر 2019
موعد مباراة ليفربول ضد مانشيستر يونايتد والقنوات الناقلة قمة الأسبوع التاسع من منافسات الدوري الإنجليزي يوم الأحد 20 أكتوبر 2019 ...t.co
Ameumia wakati wa warm up, nafasi yake kachukua Roho na formation imechangeTuanzebe n mtulivu sana namkubal sana jamaa
Awa liver kipindi cha kwanza wanaanzaga kazi kazi cha pili watapoteana tu ..tena vile hawana sub za maanaKana PhD ya unafiki
Leo sisi Man u KHALISI tunashinda.....Atakaekuamini wewe ni sawa na kuziamini habar za kigogo wa twita
Leo sisi Man u tunashindaaaaaaaWe jamaa ni mnafiki sana kule kwenye jukwaa letu la Liverpool unaiponda liva huku unaiponda man u
Leo sisi Man u tunashindaaaaaaa
Yule VVD ni uchochoro wa Dunia...
Come on Man united ..
Kila la kheri Liverpool