Waleta haraka tuwauzieManchester United are interested in signing Mohamed Elneny for a fee around £17.6m. Player identified by Solskjær and seen as ideal option to 'add bite and creativity' to United's midfield. [Various]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa anavunjavunja marekodi asee!
Inakera mkuu ila na subiri December atakua wapi nianze kumpima nacho shukuru mm bora madhaifu yameanza kuonekana mapma kuliko angeanza vizuri angejiona ana team nzuri kama msimu mlio upita afu akamaliza vibaya
Kuna msemo wa kimalkia unaitwa 'Bottom Half Of The Table' ...
Mkuu wala hata msijisumbue kututania😂😂 hatujali tena kwasasa. Tumeshajionea kawaida. Tulieni tu kwenye uzi zenu😂😂 |
Ole aliposema hana nia ya kupigania ubingwa nilimuona kiazi kweli hii ilikuwa justification kwa Woodward kumsajili average squad.
Kufundisha timu kubwa kama Manchester halafu ukawa na projection za timu ndogo kama Burnley kupungukiwa akili.
Inadaiwa wachezaji wameshapoteza imani na Ole na hawamsikilizi tena. Ed pia inasemekana amekerwa na comment De Gea kuhusu timu. |
Uu mwaka wetu aisee
Inadaiwa wachezaji wameshapoteza imani na Ole na hawamsikilizi tena.
Ed pia inasemekana amekerwa na comment De Gea kuhusu timu.
Inadaiwa wachezaji wameshapoteza imani na Ole na hawamsikilizi tena.
Ed pia inasemekana amekerwa na comment De Gea kuhusu timu.
Mkuu wala hata msijisumbue kututania😂😂 hatujali tena kwasasa. Tumeshajionea kawaida. Tulieni tu kwenye uzi zenu😂😂
kwenye list yako ungelimuongeza mzee wetu carlo ancelotti ingelipendeza zaidi.Mtu pekee anayeweza kuikoa Man United hapo ilipo ni Klopp, Guardiola na Mourinho.
Still ninaamini Man United kumfukuza Mourinho ni katika Makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya kwenye karne hii ya 21
mechi 8 sawa na points 24, na bado Ole points alizopata ni single digit.
hii ni relegation form
Akereke tu mi nimefurahi kama mpaka wachezaji kama De gea kaongea basi hali ni tete sasa inashangaza mchezaji kaona hali mbaya kocha anasema tuko vizuri tunakaribia mafanikio
Inadaiwa wachezaji wameshapoteza imani na Ole na hawamsikilizi tena.
Ed pia inasemekana amekerwa na comment De Gea kuhusu timu.
Tukampigie magoti tumpe fungu analotaka arudiMtu pekee anayeweza kuikoa Man United hapo ilipo ni Klopp, Guardiola na Mourinho.
Still ninaamini Man United kumfukuza Mourinho ni katika Makosa makubwa sana kuwahi kuyafanya kwenye karne hii ya 21
kwenye list yako ungelimuongeza mzee wetu carlo ancelotti ingelipendeza zaidi.
tatizo lake ni mkimya sana jambo litakalompelekea azidi kusumbuliwa na ed woodward ila kwenye ufundi jamaa ni fundi sana
Embu tuwe serious jamani
Kwenye eneo la kiungo ameondoka Fellaini,Herrera,Mata amechoka,Matic ameonyesha kuchoka toka msimu uliopita ulivyokuwa unamalizika,Fred tia maji..na kocha hafanyi replacement yoyote na anategemea atapigana vizuri tu kwenye EPL..hesabu gani hizi??
Lukaku ameuzwa,okay fine leta mashine nyingine kali itakayomzidi..kocha anampa majukumu Martial na Rashford..Wtf is this??..
Na mbona tukitanguliwa hatuonyeshi utofauti wowote na tulivyoanza mechi??..hakuna hata comeback yoyote ya maana ambayo tumeifanya tangu awe kocha wetu,,hii inaonyesha uwezo mdogo tactically wa huyu bwana..
United ilikuwa inapaswa kusukwa upya,lakini ni lazima kocha anayepewa hilo jukumu awe na uwezo wa juu kabisa,na si huyu bwana aliyeishusha Cardiff daraja..
Hii timu inanipa sana hasira..
Nimesema Bissaka abaki. Maguire aende.Bissaka je?