Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[h=5]Alex Ferguson has made it clear to Howard Webb that he will have to fight for his place in the 1st team.[/h]
 

Absolutely true, huwezi kushinda kwa wachezaji zaidi ya 12 kwa wachezaji 9, japo inaweza kutokea kwa kubahatisha kama UEFA msimu uliopita dhidi ya Barca walivyotolewa Terry na Drogba. Huyu referee wa leo alizidi kuwabeba hawa jamaa.
 









Manchester Utd waendeleza ubabe kwa kutumia marefa .. ... ..
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Man Utd ndio best club ever. Ubingwa wetu pamoja na UEFA CHAMPIONS LEAGUE
 
nakubaliana na wewe...kama leo game la everton vs liverpool goli la suarez lilikua ni legitimate goal dakika ya mwisho lakini linesman akatoa offside wakati hakua offside suarez so liverpool wamenyimwa 3points leo....



Pia goli la Manure la tatu, Chicharito alikuwa offside lakini hata wewe hausemi kuhusu hilo, unashangilia point 3 bila aibu usoni.
 







Naomba wale wenzangu wa kutoka Old Trafford tuendelee kushangilia ushindi wa leo. Tuendelee kuzibua vizibo.
Tumeona mchezo wa vijana wapya, Pique na Simpson.
Kanyaga twende.
huo ni mwanzo tu! man ni zaid ya noma!
 
Pia goli la Manure la tatu, Chicharito alikuwa offside lakini hata wewe hausemi kuhusu hilo, unashangilia point 3 bila aibu usoni.

what goes around comes around....mara ngapi drogba anapewa magoli ya offside? 2years ago drogba alifungaga goli old trafford ambalo lilikua offside...mbona hamsemi hilo...mashabiki bana wananchekesha sana...uamuzi ukiwa kwenye timu yao wanakaa kimya, uamuzi ukiwa kwenye opposition team makelele mengi...such is football...some decisions u get some u dont...end of
 
tv yangu ilionyesha beki wa chelsea david luiz kashika mpira wa krosi ya antonio valencia lakini nimesikia tv walizoangalia anti-man utd fans hazikuonyesha tukio hilo

arteta juzi kati kafunga goli la offside lakini watu hatuna nafasi za kuzungumzia makosa ya marefa wanapokosea vitimu vidogo vinapocheza,majuzi demba ba alifunga goli la mkono je hamkuona hilo?lakini hatuwezi kuzungumzia makosa ya marefa vinapocheza vitimu vidogo

ni issue tu pale inapokuwa ni manchester united,sababu kuu ni zifuatazo-siku zote sisi ni washindani tunabadilisha tu watu wa kugombania nao ubingwa,mara liverpool,mara arsenal,mara chelsea na sasa man city,man utd ipo pale siku zote hivyo sisi ni watu tuliofanikiwa zaidi na tuna haters wengi zaidi

sisi ni wakubwa kuliko timu zote uingereza so all eyes on us

mashabiki wa man utd tuwaache hawa watu wachonge weee si tunavuna ma-points!viva man utd! kama wewe shabiki wa man utd gonga multiple likes if you can!
 
Dah natizaama hii Game Chelsea na United nafikiri Sir Alex apewe sifa zake kawa mwekundu na nywele zimesimama hivi ndio inaonyesha anavyojali games na hajali ni Kombe gani anakuwa Mkali ndio Managers inavyotakiwa inapata kuwajulishana baazi ya Players unawekwa uwanjani ni kwa sababu gani.
 

dunia nzima offside ya arteta uliona wewe...
 
Tokeni hapa..ingekuwa hizo penalties tumepewa sisi tu apo sawa...u cant compare refereeing ya juzi (jpili) na ya jana usiku.
U R F*CK*ng out of the game...tena mkiwa wote 11...pambaff!!!
 
poleni majirani naona mshaanza kupunguza vikombe kama sisi so karibuni uraiani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…