alicheza EPL kabla ya kwenda Serie A. Ukisema alikuwa hapati nafasi ,kwanini alikuwa hapati?Acha Zarau wewe
Mo Salah Kipenzi chenu hakuwah kufika hata goli 18 kwenye msimu ndani ya Serie A. PL anazivunja mpaka rekodi.
Kwanza unaamini huu msimamo ndio una reflect uhalisiaMan U - 159M - Point 5
Chelsea - OM - Point 5
Kuna tatizo mahali
pia anaweza akatokezea muhuni akasema hata nyakati zile leicester city anaongoza ligi wakajitokeza mashabiki na maneno kama hayo mwisho wa ligi leicester akawa bingwa.Kwanza unaamini huu msimamo ndio una reflect uhalisia
Kama una amini hivyo, basi tatizo lipo
Kama unaamini Cristal Palace aliyetumia £0 kwenye usajili ataendelea kuwa hapo alipo, tatizo litakuwepo
Kama unaamini Liverpool aliyetumia chini ya £20m ataendelea kuwa juu ya City aliyetumia £75m ujue tatizo lipo
Kama unaamini United atabaki hapo alipo (namba 8)na Chelsea atabaki hapo alipo (namba 11) ujue tatizo lipo
Au mkuu ulitaka tuangalie Chelsea na United tu, bila kuangalia big picture
Ligi ni kama mbio za marathon mkuu, sio kila aliye mbele dakika mbili za mwanzo atamaliza akiwa mbele na si kila aliye nyuma atamaliza wa mwisho. Nakumbuka mara ya mwisho Chelsea kuchukua EPL ilikuwa chini ya Conte, timu ilianza ligi vibaya mnoView attachment 1196893
Tatizo lako wewe huwezagi kujenga hoja bila kutafuta Excuse ya sapoti kwa timu nyingine,Itetee Manchester United bila mgongo wa timu nyingine.Kwanza unaamini huu msimamo ndio una reflect uhalisia
Kama una amini hivyo, basi tatizo lipo
Kama unaamini Cristal Palace aliyetumia £0 kwenye usajili ataendelea kuwa hapo alipo, tatizo litakuwepo
Kama unaamini Liverpool aliyetumia chini ya £20m ataendelea kuwa juu ya City aliyetumia £75m ujue tatizo lipo
Kama unaamini United atabaki hapo alipo (namba 8)na Chelsea atabaki hapo alipo (namba 11) ujue tatizo lipo
Au mkuu ulitaka tuangalie Chelsea na United tu, bila kuangalia big picture
Ligi ni kama mbio za marathon mkuu, sio kila aliye mbele dakika mbili za mwanzo atamaliza akiwa mbele na si kila aliye nyuma atamaliza wa mwisho. Nakumbuka mara ya mwisho Chelsea kuchukua EPL ilikuwa chini ya Conte, timu ilianza ligi vibaya mnoView attachment 1196893
Nimemshangaa sana.pia anaweza akatokezea muhuni akasema hata nyakati zile leicester city anaongoza ligi wakajitokeza mashabiki na maneno kama hayo mwisho wa ligi leicester akawa bingwa.
mkuu leo umebadilika sana kiuandishi au account yako imekuwa hacked?Tatizo lako wewe huwezagi kujenga hoja bila kutafuta Excuse ya sapoti kwa timu nyingine,Itetee Manchester United bila mgongo wa timu nyingine.
my vote: harry maguire.√Daniel James
√Harry Maguire
√Wan Bissaka
ManUnited player of the month nominees
My vote: Daniel James
Safari hii man u ,usajiri mmetulia , hamkwenda pupa√Daniel James
√Harry Maguire
√Wan Bissaka
ManUnited player of the month nominees
My vote: Daniel James
my vote: harry maguire.
lindeloff anamuangusha
Safari hii man u ,usajiri mmetulia , hamkwenda pupa
Kwenye Chelsea hapo usiiwekee dhamana , anaweza kubaki maeneo hayo hayo hadi ligi inaisha .Kwanza unaamini huu msimamo ndio una reflect uhalisia
Kama una amini hivyo, basi tatizo lipo
Kama unaamini Cristal Palace aliyetumia £0 kwenye usajili ataendelea kuwa hapo alipo, tatizo litakuwepo
Kama unaamini Liverpool aliyetumia chini ya £20m ataendelea kuwa juu ya City aliyetumia £75m ujue tatizo lipo
Kama unaamini United atabaki hapo alipo (namba 8)na Chelsea atabaki hapo alipo (namba 11) ujue tatizo lipo
Au mkuu ulitaka tuangalie Chelsea na United tu, bila kuangalia big picture
Ligi ni kama mbio za marathon mkuu, sio kila aliye mbele dakika mbili za mwanzo atamaliza akiwa mbele na si kila aliye nyuma atamaliza wa mwisho. Nakumbuka mara ya mwisho Chelsea kuchukua EPL ilikuwa chini ya Conte, timu ilianza ligi vibaya mnoView attachment 1196893
sivyo kabisa nilivyokuwa nikimchukulia, akiondoka ashley young itapendeza zaidi kama atakuwa nahodhaIkiwezekana wampe na kitambaa cha unahodha tu
chelsea walimtegemea sana hazard ndio maana wanateseka baada ya kuondoka.Kwenye Chelsea hapo usiiwekee dhamana , anaweza kubaki maeneo hayo hayo hadi ligi inaisha .
Mbn leo umeandika vizuri hivi? Kulikoni? Ooohh..Tatizo lako wewe huwezagi kujenga hoja bila kutafuta Excuse ya sapoti kwa timu nyingine,Itetee Manchester United bila mgongo wa timu nyingine.
Rashford, Martial na Lingard all are poor than Tammy Abraham.
Kwanini simpendi Rashford. View attachment 1196661
Man U - 159M - Point 5
Chelsea - OM - Point 5
Kuna tatizo mahali
Pamoja na mapungufu yake tumpe pia heshima yake huyu jamaa.
Mimi binafsi sipendi uchezaji.wa pogba lakini naheshimu kipaji chake ni cha kipekee sana kwa body morphology yake.
Pogba ni mchezaji pekee kwa dunia ya Leo mwenye uwezo wa kukupa kila kitu uwanjani ambacho pale epl Hakuna timu inamchezaji wa caliber yake
Na kwa mwendo wao huu wanaweza kubaki namba 10-15 , maana hata January hawawez kufanya usajiri , timu kama man u ,January itarud sokon tu,chelsea walimtegemea sana hazard ndio maana wanateseka baada ya kuondoka.