Tunacheza vizuri sema shida timu imerelax sana wanacheza kifather sana yani. Tunawachezaji wengi wenye pace lakini tuko slow sana kupeleka mashambulizi mapasi mengi hayana maana.
Man ni uchafu. Mbele ni upuuzi mtupu mipira inafikishwa mbele lakini wachezaj wa mbele wote ni so average. Hutushindi chochote na forward line kama hii.
Pogba anapoteza mipira mnoo
wan bissaka wanamchosha mtoto wa watu
Man ni uchafu. Mbele ni upuuzi mtupu mipira inafikishwa mbele lakini wachezaj wa mbele wote ni so average. Hutushindi chochote na forward line kama hii.
Pogba anapoteza mipira mnoo
wan bissaka wanamchosha mtoto wa watu