Huoni hapo dembele atakuwa benchi ?Hapana, Haihitaji Messi akae bench (kitu ambacho hakiwezekani).
1.AG anaweza kucheza nyuma ya ST Messi akacheza RW.
2.AG anaweza kucheza LW.
3. AG na Messi wanaweza kucheza wote mbele kama two STs
4. AG anaweza kucheza kama ST( kama Ferminho).
BTW.
Ngoja tuone na sisi leo OLE anakuja na mfumo gani.
Ila ningependa Martial tumtumie zaidi kama ST.
Hapa kunaHapana, Haihitaji Messi akae bench (kitu ambacho hakiwezekani).
1.AG anaweza kucheza nyuma ya ST Messi akacheza RW.
2.AG anaweza kucheza LW.
3. AG na Messi wanaweza kucheza wote mbele kama two STs
4. AG anaweza kucheza kama ST( kama Ferminho).
BTW.
Ngoja tuone na sisi leo OLE anakuja na mfumo gani.
Ila ningependa Martial tumtumie zaidi kama ST.
Dili bado halijakamilika lakiniGriezman Suarez Messi
Kuna watu wapo serious sana na mambo yao...
Kama kuna mtu mwenye link atuwekee hapa
Azam wamezingua, wamepeana talaka MU Tv
Vp kuna aliye pata link??
Ashley young na Phil Jones sijui kwanini waliongezewa mikataba hawa watu
ndo tuseme chuki au kukata tamaa na hao unaowataka wakiingia na timu ikifungwa lawama utampa nani tena?? kwani mnagombea nini katika hiyo mechi?Naanza kupoteza imani na huyu kocha wetu..mtu kama YOUNG na Jones hawakupaswa kuwepo kabisa kikosini hadi muda huu.lkn young ndio captain alaf nje yupo BISSAKA na DALOT wasugua benchi..huu ni ushenzi wa kiwango cha lami..huyu jamaa atafukuzwa siku si nyingi akiendelea na ujinga huu
Yaani hadi kichefuchefu kuona hicho kikosiOle ataishia kufukuzwa tu mid way through the Christmas break. Wachezaji ni wale wale sijaona jipya
Ushaambiwa mechi ina limited substitutionsMkuu relax
Hii ni pre season, kila mchezaji lazima acheze
Usije shangaa kipindi chs pili, kikosi kizima kikifanyiwa sub
Nimepitia page yetu insta naona DJ amesifiwa kuwa angalau kafanya poa first half kuliko wengine wanaoangalia game tupewi maneno.
Limit ilikuwa ngapi mkuuUshaambiwa mechi ina limited substitutions
Martial anatakiwa kuongeza bidii mnoo, sio leo wala jana hichi kitu kmeonekana kwa martial.Nimeangalia mechi..nimenote vitu hivi
1.Matic ameisha,anaelekea mwisho..
2.Bado tunahitaji beki wa kati..smalling na jones bado perfomances zao ni mbaya
3.Watoto wa academy wako vizuri; Hapa namzungumzia Gomez,Chong,Greenwood..hawa madpgo wameonesha perfomance nzuri sana
4.Anthony Martial anahitaji kujituma zaidi maana anaonekana ameridhika sana uwanjani..hana njaa ya magoli!!
5.UNITED Inamuhitaji POGBA sanaaaa..baada ya pogba kuingia kipindi cha pili aliweza kubadili mpira na kuchezesha vizuri pia kusukuma mashambulizi..Mtu asiwadanganye jamani POGBA inabidi abaki kwa gharama yoyote ile.
6.Overall performance ya timu bado iko chini..imestruggle sana kupata magoli..i give 75% to today's perfomance.
Note;Tunahitaji Midfields wawili na CB mmoja mwenye AKILI na nGuvu.