Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Sijui hata kama unaelewa unachokiongea,
Kukusaidia tu hii ni table ya FFP
The way inavyohesabiwa ni hela uliyonunulia mchezaji gawanya kwa mkataba wake, mfano tumemnunua pogba kwa 89m mwaka 2016 mkataba wa miaka 5, basi inavyohesabiwa ni roughly 17m kila mwaka mpaka 2020.
Miaka 5 iliopita man utd tumespend zaidi ya 600m kwenye wachezaji, tuna net spend kama 440m ukitoa wachezaji tuliouza. Kwa kusubiria hadi mwezi wa 7 tunakuwa tumecancel usajili wote uliofanywa na moyes na ule usajili uliofanyika world cup kipindi anakuja lvg, inamaana tutaanza usajili wa 2015/16.
So piga mahesabu Di maria, falcao, fellaini, Herrera, shaw, blind etc. Ukitoa hao net spend inakuwa ndogo sana.
At same time madrid ana net spend 26m tu compare na zaidi ya 400m yetu, ametuuzia Di maria miaka 5 iliopita, ameuza sana ndani ya hii miaka watu kama Ronaldo, danilo, jese, ozil etc akispend kabla ya 1 july anapata faida mbili, kutumia wachezaji wa zamani waliouza, na pia in future ikifika tarehe 1 july inahesabika mchezaji yupo msimu wa pili, hivyo miaka 5 inapita kirahisi.
Woodward hajui soka lakini Account anazijua.
Tetesi ni kwamba Man u hawasajili sababu ya FFP wanasubiri msimu uishe, kuanzia july 1 tegemeeni hela kutumiwa ovyo ovyo.
Madrid wao wanasajili sana kubalance hela waliyopata ya ronaldo kabla msimu haujaisha.
Atakwepaje kucheza futuhi wakati timu yake iko futuhi!,isitoshe siyo mala yakwanza yeye kucheza futuhi.Itakuwa ni fedheha sana kama Pogba atakubali kucheza FUTUHI msimu ujao, yule ni mchezaj wa kiwango cha dunia. Kucheza futuh ni kumwaribia heshima yake.
Nikumbushe mkuu ni wapi tena alishacheza futuh kuacha unitedAtakwepaje kucheza futuhi wakati timu yake iko futuhi!,isitoshe siyo mala yakwanza yeye kucheza futuhi.
AefaYani ODOI anacheza aefa halafu PP kavimbaa kabisa anakipiga Europa hahaha asshhh
Lets be calm and see!! That "liked" by utdfame can it be a signal? Lets seeBruon fernandez kaaga cp na yupo kwenye pipa.....destination ? Man au liver mana nackia km wameeingia kati ila me nahc manchester united...View attachment 1137870View attachment 1137871
Nani kuibuka from no where we kijana!Sasa wewe Bro mtu anaibuka tu from nowhere na kauli ya kukwita Muongo bila ya vielelezo vyovyote, then na wewe unapoteza muda Kumquote?
Mwambie akajifunze maswala ya Fedha kwanza
Majamaa wanataka watuaminishe kwenye hewa, hyo issue ingekuwa kikwazo nazani taarifa zingekuwa zishazagaa kitambo....!! Mpak Ed mwenyewe hajasema hlo ni tatzo kwenye usajili...lakn taarifa imetoka bongo inasema taratibu za Usajili za Uefa zimepin down Man u, kuchukua vitasa..😀Nani kuibuka from no where we kijana!
We umesikia United wakitoa hiyo excuse? Mnakariri analysis za media?
Jamaa ndo kaaga ? Wapi man au liver ?View attachment 1137876View attachment 1137877
Spurs?Liverpool ni tetesi tu from Media lakini hawajaweka Bid yoyote ile, Kuhusu United kama wameweka Bid basi watamchukua moja kwa moja kwani hakuna timu nyengine iliyobid.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aefa
Hadi sasa ni Daniel James ndio target pekee iliyofikiwa pale united. Hatuko serious
Kama vile nimekuelewa. Nahisi upo sahihi sana.Tetesi ni kwamba Man u hawasajili sababu ya FFP wanasubiri msimu uishe, kuanzia july 1 tegemeeni hela kutumiwa ovyo ovyo.
Madrid wao wanasajili sana kubalance hela waliyopata ya ronaldo kabla msimu haujaisha.
Akabebe makombe kwa jitihada kubwa za wenzie au?akitoka pogba sijui lawama timu ikifanya vibaya tutampa nan?
ila m napenda pogba aondoke akashinde makombe mana akibaki utd hata baada ya miaka 5 sion kama atabeba kombe kwa ujinga uliopo ndan ya kikosi kile