Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daniel James karibu manchester united, kutoka kulipwa mshahara wa paundi 4000 kwa wiki hadi paundi 67000 kwa wiki kwa mujibu wa daily mail.

miezi minne iliopita leeds united inasemekana walitaka kumnunua kwa paundi millioni 1 lakini leo hii man utd wamemnunua kwa paundi millioni 18.

dakika moja tu inaweza kubadilisha mfumo mzima wa maisha yako, hatupaswi kukata tamaa ya kutafuta maisha.​

tokea nishabikie mpira wa ukweli zoran tosic ndiye mchezaji pekee niliyewahi kumtabiria atafanya vizuri sana hatimaye ikawa kinyume chake, vipi wakuu niwatabirie future ya huyu bwana mdogo daniel james?
musiogope jamani sina uhusiano wowote na marehemu sheikh yahya hussein.
 
Zoran Tosic hakuwahi hata kuchezeshwa kabisa sijui huyu.
 
Mimi nimeshangaa ukubwa wa pesa aliyonunuliwa huyu dogo pamoja na mshahara atakaolipwa tu.

Kama Woodward amekosa business negotiators waniajiri hata mimi nina uzoefu wa kununua mitumba inayouzwa laki nainunua kwa buku tu
 
Zoran Tosic hakuwahi hata kuchezeshwa kabisa sijui huyu.
alikuwa anapewa dakika chache sana ukilinganisha na wenzake kama danny welback, gibson kiukweli nilikuwa nachukia sana nyakati zile.

nishatoroka skuli sana nyakati za asubuhi kwa ajili ya kufuatilia man utd tv kupitia supersport 7, walikuwa wanaonyesha mechi za reserves team na academy kila siku ya jumatano na ijumaa.

tulikuwa na vijana wengi mafundi kama vile pogba, will keane na michael keane, joshua king, davide petrucci, ravel morrison, danny drinkwater, tom cleverley, robert zieler golikipa wa ujerumani, larnell cole, danny simpson, ben foster,n.k

nyakati zile msimu wa 2007 hadi 2009 tulikuwa na timu nzuri sana ya wakubwa kiasi ambacho ilipelekea vijana wengi kushindwa kupata nafasi ya kucheza timu kubwa.
yupo ronaldo, rooney, tevez, berbatov, giggs, scholes, carrick, hargreaves n.k
vijana wengi waliisoma namba na kupelekea wengi wao kuondoka klabuni.

throw back friday
 
Mimi nimeshangaa ukubwa wa pesa aliyonunuliwa huyu dogo pamoja na mshahara atakaolipwa tu.

Kama Woodward amekosa business negotiators waniajiri hata mimi nina uzoefu wa kununua mitumba inayouzwa laki nainunua kwa buku tu
hahahahaaa sasa uyo bwana mdogo akionyesha kiwango kikubwa mkataba wake mpya utafikia paundi 150000 kwa wiki.
mshahara wake ulipaswa uwe paundi 35000 hadi 45000 kwa wiki.
 
Yeah kuanza tu na 67000 au wanataka kupandisha wage structure ya team nzima ?
Au Woodward yuko desperate sana kumpata huyu dogo ?
hahahahaaa sasa uyo bwana mdogo akionyesha kiwango kikubwa mkataba wake mpya utafikia paundi 150000 kwa wiki.
mshahara wake ulipaswa uwe paundi 35000 hadi 45000 kwa wiki.
 
Yeah kuanza tu na 67000 au wanataka kupandisha wage structure ya team nzima ?
Au Woodward yuko desperate sana kumpata huyu dogo ?
kama wanataka kupandisha mishahara kwa nini wakamuondoa ander herrera?
nasubiria paundi laki 3 za marcus rashford miezi michache ijayo pamoja na paundi laki 4 za paul pogba.
Matt Judge utafikiri hajasomea mambo ya fedha.
 
Hata ukimtabiria ni kazi bure Robertson ame develop Liverpool under one of the world top Manager (Jurgen Klopp) anayajua renowned developing good player to Great player..........Na huyo kocha wenu Mlugaluga nawaambieni mapema Christmas hamkuti OT.
 
vipi kuhusiana na ashley young
vipi kuhusiana na juan mata ambaye pia wanafanya naye mazungumzo ya kumpa kandarasi ya mwaka mmoja
Nafikiri hawataki kufanya overhaul kwa haraka sana ili wasije kujikuta wakiwa shimoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…