Hivi Ole alishindwa kuchagua captain. Maana captain angejaribu kudeal na wachezaji ili waache mgomo. Ni hakika hapo si bure pana mgomo. Kama Huddersfield na Cardiff ambao wameshashuka daraja bado wachezaji wanacheza kwa moyo, hawa nafasi ya sita (6) wapo nje ya mchezo. Something must be done.