Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii Man United ya leo balaa tupu..Fernandinho leo anapata tabu sanaaa
 
Mechi ya leo inachangamoto nyingi sana. Tunatamani kushinda ili kujiweka pazuri kutafuta nafasi ya 3 au 4. Tunatamani kushinda ili kuwaonyesha majirani na wapinzani kwamba tunajikongoja vizuri. Tunatamani kushinda ili kufuta machozi ya mashabiki kutokana na vipigo mfululizo. Wakati huo huo hatutaki Liverpool achukue kumbe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…