Mechi ya leo inachangamoto nyingi sana. Tunatamani kushinda ili kujiweka pazuri kutafuta nafasi ya 3 au 4. Tunatamani kushinda ili kuwaonyesha majirani na wapinzani kwamba tunajikongoja vizuri. Tunatamani kushinda ili kufuta machozi ya mashabiki kutokana na vipigo mfululizo. Wakati huo huo hatutaki Liverpool achukue kumbe.