Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Youngggggggggggggggggggggggggggg

Mkuu mzima lakini,mda kidogo naona,naona majirani zetu leo wataamini kwamba pesa ni nothin kwenye mpira,alafu mzee alishawaambia toka waanza kwamba kuwa na hela na kununua wachezaji wazuri sio kushinda kila kitu
 
dah...yaani manu naichukia kupita ccm lakini nawakubali sana wakishakaa kileleni,huwa hawafanyi makosa ...pressure kubwa sana iko kwa mancini na kuna kila dalili j'pili ijayo atachezea kichapo kwa arsenal au kuambulia draw tu...!
 
dah...yaani manu naichukia kupita ccm lakini nawakubali sana wakishakaa kileleni,huwa hawafanyi makosa ...pressure kubwa sana iko kwa mancini na kuna kila dalili j'pili ijayo atachezea kichapo kwa arsenal au kuambulia draw tu...!

tena mkuu!tunacheza QPR kabla man city hajacheza na arsenal!wataingia uwanjani tukiwa tumewaacha points 8!raha iliyoje!
 
Huko aliko mancini na mshenga wake wa mind games viera watakua wana wet their pants.
 
The glory of united....The lads know when,why and how to deliver when it matters the most.Come on United.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…