Dalot! Martial! Hawa ndio wachezaji watakaomng'oa OGS Old Traford. Yaanni Martial anamuweka nje Mata! Sijisumbui kuangalia hii mechi. Ngoja nipeleke watoto beach. Pumbaf.
Ha ha ha ha We jamaa Martial angekuwa bongo ningesema mmechukuliana wanawake. N way dogo hata mie Mara nyingi ananikera,anashindwa kujituma ili kipaji chake kiwe halisi. Angalia mechi kaka tutashinda na anaweza akawa chachu leo
Dalot! Martial! Hawa ndio wachezaji watakaomng'oa OGS Old Traford. Yaanni Martial anamuweka nje Mata! Sijisumbui kuangalia hii mechi. Ngoja nipeleke watoto beach. Pumbaf.
Ha ha ha ha We jamaa Martial angekuwa bongo ningesema mmechukuliana wanawake. N way dogo hata mie Mara nyingi ananikera,anashindwa kujituma ili kipaji chake kiwe halisi. Angalia mechi kaka tutashinda na anaweza akawa chachu leo
Ningekuwa Nina dhamana kubwa ndani ya Man U ningehakikisha Leo tunampiga Everton kwa namna yoyote halafu ningepumzisha baadhi ya wachezaji muhimu kwenye game ya Man City hata tukifungwa poa tu kisha ningefunga kikosi kamili dhidi ya Chelsea na walobaki tufie uwanjani.
Dalot! Martial! Hawa ndio wachezaji watakaomng'oa OGS Old Traford. Yaanni Martial anamuweka nje Mata! Sijisumbui kuangalia hii mechi. Ngoja nipeleke watoto beach. Pumbaf.
'The manchester united way' inawatesa sana. Solskljaer inatakiwa aje na identity yake sio kulazimisha identity ya Sir. FERGIE. Ingawa Mourinho na falsafa yake ilibugi lakini angalau alijaribu kuja na staili nyingine. Kitakachomfukuzisha kazi Solskjaer ni kutaka kuchezesha Manu kama ile ya Fergie, mambo yamebadilika.