Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado. Kuna wapuuzi watatu kule nyuma wakuwatimua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
May be my memory is down, nani anakumbuka the time your favorite coach anachukua timu tulikua nafasi ya ngapi? And what an improvement he has made so far?
View attachment 1062242

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu angalia hata point alizokusanya kwa kipindi kifupi alichoichukua timu,tuliachwa parefu sana kipindi cha mtukufu mou.
Haya linganisha hata ubora wa kikosi chetu na cha newcastle,huddersfield, na nyingine za mid table,je,tulistahili bado kulalamikia beki wa kati kuwa outclass hao wote?
Ni ukweli ulio wazi kuwa timu yetu iko nyuma sana kiubora ukilinganisha na giants wengine na si mid table teams,mou naye ana mapungufu yake kwenye kuboronga kwa timu muda wote huo.
Tangu mwanzo mie sijawahi kuwa shabiki wa pp sababu ya tabia zake ndani ya uwanja. Hafanyi majukumu ya kiungo aliyekamilika ila mashabiki wetu wengi huwa tunaangalia mazuri yake tu na kupotoshwa na media za uingereza kuikuza ligi yake.
ila usinitukane tafadhali mkuu.
 
Ole hata sub za juzi pia alichemka ukweli lazma tuseme ! Lukaku ilibidi asitoke na hata dalot ! Fred pia bora angetoka yule zeru alofunga goli hata timu ya taifa anaanzia nje

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
 

kwenye hii list hakuna mtoto wa malkia hata mmoja,overhaul inafanywa kwa makusudi mengine kabisa na wala si improvement ya squad yetu.
 
ZLATAN SCORES A PANENKA
 

Attachments

  • PANENKA SZN Zlatan Ibrahimovic gets his brace from the penalty spot 144 x 256.mp4
    1.9 MB
kwenye hii list hakuna mtoto wa malkia hata mmoja,overhaul inafanywa kwa makusudi mengine kabisa na wala si improvement ya squad yetu.
Kama msimu ujao bado tutakuwa tunamtegemea Young na Victor-Smalling partinership, tuandike maumivu.

Summer itatupa picha hawa jamaa wana malengo gani. nataka nione kama Ed na Glazzers wako serious.


Sent using simu mbovu
 
Nadhani ogs anafanya kazi kwa kukariri zaidi ila si kuangalia uhalisia. Wachezaji tulionao kipindi cha fergie walitosha kutupa makombe kwa kuwa timu pinzani zilikuwa dhaifu zaidi lakini zama hizi timu zinatofauti ndogo sana kiuwezo hivyo tulitakiwa tuwe na cream nzuri zaidi ya wachezaji kutokana na ukwasi wetu.
ggmu
 
Yani smalling,jones na young wazuri kuliko bailly kocha atakuwa hana akili

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Bailly kusema kweli msimu huu hajafanya vizuri hata kidogo unakumbuka ile game aliyotolewa dakika ya 26 baada ya man u kupigwa goli mbili ndani ya dakika hizo?

Katika mechi zote alizocheza bailly man ama alifungwa kwa makosa ya defence au alitoka sare au alianziwa kufungwa goli kisha akachomoa.

Kwangu mimi smalling anajitahidi kuliko Bailly hivyo ni sahihi kumwachia aondoke tu heri tutafute beki mwingine kuliko kuendelea kubaki na madefender wengi mapazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ole hata sub za juzi pia alichemka ukweli lazma tuseme ! Lukaku ilibidi asitoke na hata dalot ! Fred pia bora angetoka yule zeru alofunga goli hata timu ya taifa anaanzia nje

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Acha ubaguzi mkuu uzeru yule jamaa hajaupata kwa kujitakia kocha anafanya sub for a technical reason au kwa sababu za lazima.

Yawezekana kweli kocha alichemka kufanya sub lakini unauhakika gani kama angefanya sub unayoitaka wewe ifanywe team ingebalance na iko nusu uwanjani.

Kwangu mimi ilikuwa sahihi kumtoa lukaku ambaye hata kukaba hajui sema the sub did not work they way mwalimu alitaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye hii list hakuna mtoto wa malkia hata mmoja,overhaul inafanywa kwa makusudi mengine kabisa na wala si improvement ya squad yetu.
Tusiwe biased kwenye hiyo list ni wachezaji wawili tu ambao kwa msimu wanacheza angalau match tano hivyo ulitaka awekwe smalling over bailly ambaye msimu huu hajafanya lolote la maana kikosini ?
Au ulitaka awekwe young over Damian ambaye msimu unakaribia kuisha amecheza mechi Moja?

Tunataka overhaul lakini siyo overhaul ya kivuta bangi na kwa hali ya team ilivyo tusitegemee hata kama team itanunua wachezaji kumi at once tutabeba EPL next season team itahitaji kukaa pamoja angalau for a season.

Mpira hauna mafanikio ya haraka kama kuoka mikate lazima tuwe na subira na mipango ya kutuondoa hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza OGS hajaanza kutekeleza mipango yake ya usajili tunawezaje kumlaumu na kuanza kuona mapungufu yake wakati Kitu pekee alichokifanya ni kutransform morali ya team tu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…