Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dafoe pulls one back with a powerful shot....Totts 1-3 Man United.87'
 
Mkesha wa huu ushindi wapi jamani? Nazunguka Dar yote na mafuta ya gari yananiishia sisikii vifijo na nderemo....wapi mashabiki wa Man Utd. ndani ya Dar hii? Mwaka huu ushindi ni wetu na kombe litabakia Old Trafford kama kawa!
 
Commentator anasema "and that's why they are the champions"
Mkesha wa huu ushindi wapi jamani? Nazunguka Dar yote na mafuta ya gari yananiishia sisikii vifijo na nderemo....wapi mashabiki wa Man Utd. ndani ya Dar hii? Mwaka huu ushindi ni wetu na kombe litabakia Old Trafford kama kawa!
 
Mkesha wa huu ushindi wapi jamani? Nazunguka Dar yote na mafuta ya gari yananiishia sisikii vifijo na nderemo....wapi mashabiki wa Man Utd. ndani ya Dar hii? Mwaka huu ushindi ni wetu na kombe litabakia Old Trafford kama kawa!

mkuu,man city wanatunyima raha,tunaendelea kuwanyatia kimyakimya kama kumkimbiza mwizi kariakoo,tukiwakamata watatutambua!
 
Ni lazima MAN CITY kuna sehemu itakabwa koo,hapo sasa ndiyo RED DEVIL ikishika usukani ndiyo mpaka kuchukua ile NDOO ya maji kama vile CHIPOLOPOLO. Gooo Man Utd no one like you!
 
....mmefanya kitu nzuri sana leo,....Spuds cant help but to look over their shoulder who' s catching up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…