Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi huyu Bissaka wa nini mbona Diogo Dalot yupo vizuri tu ?
Mbona Ashley Young anacheza vizuri sana hiyo position ?
Matteo Damian je ?
Au kwa sababu ni mchezaji mzuri tu lazima aje United ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wan Bissaka ni mchezaji bora zaidi ya Dalot mkuu.. Jmaa anashika namba 3 kwa tackles won in the league na Yupo vizuri kupanda na kushuka...ukizingatia this is his first season in the league anafaa Sana..... kwamfano tunacheza na dortmund alfu dalot awe amelanda kdogo Sancho apate mpira je dalot staweza kumfukuzia.... Dalot mzito sana mkuu and tukimpata Bissaka inamaana watashindania namba so watacheza kwa kiwango chajuu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona jioni hii majarida mbalimbali yanadai Herrera amesaini pre contract agreement na PSG

Kama taarifa ni za kweli, tunahitaji kusaini watu 5, sio 4 tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Tetesi zinasema Ole hajaamua muonekano wa kiungo chake na watu watakaomzunguka Pog.... Ndo maana mkataba wa Herrera unasuasua sana....

Pia tunahitaji aina flani ya middle ambae atakuwa niupgrade ya Ander.... Mziba nafasi wa Fellaini na Ander nadhan tunaweza sajili rabiot na declan Rice hao wote hawafikishi hata paun mil 50 maana rabiot atakuja bure... But kwamaoni yangu kati ya Ndombele, rabioti, Declan Rice, Fernandes, Aouar Wawili waje....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Damushin kiongozi ni kweli nimekuwa nikiwapigia sana chapuo watoto wa kiingereza hawa 3 tu....Rice, Sancho, Bissaka mantis Hudson Odoi kwa muda....ukianza na declan Rice ukiangalua game 2 izopita na city utaona jinsi gan anajua kazi yake ni mbadala sahihi wa Matic just imagine Declan na Tomminay wanacheza nyuma ya pogba. Itakuwa raha sana anajua kukaba, yupo vizuri on air, anapiga pasi vzuri na anapandisha mashambulizi pia.....

Sancho ainahitajika kuongeza kitu kwenye winger yetu na anaendea kukua so Miaka 2 bei yake inaweza kuwa 180 huko..speed yake pia ni kitu tunachohitaji kwenye winger yetu na pia uwezo wa kuwapangua wapinzani na kutoa assist nzuri.....

Bissaka game na city nliiangalia vzuri kijana Yupo mature sana na anatimiza wajibu wake wote kushambulia na kukaba kwa speed ile ile.... Anapiga cross vzuri kama dalot tu ila tofauti kubwa kati ya dalot na Bissaka ni uwezo wa kupanda na kushuka na uwezo wa kukaba.... Dalot kukaba hajui kihivo alafu ni mzito kushuka pindi akipoteza mpira....tackles won anashika nafasi ya 3 kwa msimu wake wa 1 anaonekana kuwa na potential kubwa sana..

Hudson Odoi naona kuna shida kati yake na Sarri, baada ya game ya England na Montenegro Sarri aliponda uchezaji wa Odoi kuwa jamaa dakika 20 za mwanzo alicheza vbaya.. Uzuri wa Odoi ni kuwa akiondoka Chelsea atajituma zaidi ili awaprove wrong Chelsea na Sarri, kiuwezo yupo vzuri ukizingatia hata Miaka 20 hajatimiza.... Game ya jmos na Cardiff walimuonesha kavimba kweli, kwa Mashabiki wa Man u ni furaha kwetu maana inaongeza possibility ya kumsajili....ingawa naona kama tutamsajili Odoi basi Sanchez auzwe then Odoi aje pambana na martial maana Odoi ni mzuri kutokea left na anapenda tokea kushoto.....

so ningepewa jukumu la kusajili watu 5 tu ningesajili skiniar wa inter, sancho,Bissaka, Declan rice na Neves then tunafunga jukumu..... Ila sema Neves ni gharama sana so bora tuendelee na rabioti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah nadhani ataondoka! inasikitisha lakn Man UTD itabaki kuwa Man UTD cha kufanya sasa ni kusajili watu wa maana!
Manchester United are trying their best to convince Ander Herrera to stay, but according to reports the Spaniard is using interest from PSG to raise his wage demands. Apparently, Herrera wants £200,000 a week but United won’t pay him more than £170,000 a week.
 
Naona wengi wetu tumeridhika kuondoka kwa Herrera, japo mimi ninaona tatizo

Ni ukweli huko ulimwenguni kuna upgrade ya Ander lakini si wengi kama tunavyodhani

Kupata mbadala wa Ander tunahitaji sio chini ya £50 million, hivyo kama Glazers walitaka kumpa Ole £200 million kwa ajili ya kuimarisha kikosi, watapaswa kutoa £250 million jambo ambalo siamini kama Glazers wapo tayari.

Glazers watamwambia Ole, mtumie zaidi Tominay, mtumie zaidi Fred, mtumie zaidi Perreira na ikibidi angalia academy lakini sidhani kama kuna hela watatoa. Tukumbuke kuwa kabla ya suala la Herrera tayari tulikuwa tunahitaji kusajili midfielder mmoja, sasa itakuwa wawili.

Watu wanasema tutampata Rabiot bure, jambo ambalo sio kweli kiivyo maana kuna signing on fee £10 million. Isitoshe ninampenda Rabiot kama mchezaji, lakini character yake na mama yake ambaye ni agent wake ni tatizo. Ku deal naye ni mtihani sana, yupo kama Pogba tu. Isitoshe sio sisi tu tunaomtaka Rabiot, kwa hiyo kuna competition na kwa kuwa ni free agent lazima ata demand mshahara mkubwa tu.

Kama tulikuwa tunataka sana kufanya surgery ya kikosi, katika midfield Matic ndio alikuwa wa kwanza kuondoka kabla ya Herrera. Matic ana mwaka 1 wa kucheza kwa kiwango kinachohitajika pale United, na Herrera alikuwa ana misimu zaidi ya 2 kucheza kwa kiwango cha juu

Kibiashara Ed na Glazers sijui wanawaza nini? Kwanini basi wasikubali kumpa mshahara wa £200k kwa wiki anayodai halafu akitokea mteja auzwe hata kwa £25million? Mbona tulifanya hivi kwa Fellaini? Jambo pekee ninaloona hapa United wali abuse upendo aliokuwa nao Herrera kwa United, wakidhani "kuku akiwa wako, hamna haja ya kutumia manati ili kumpata"

Let's wait and see



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rabiot ni gambling kumleta kwenye EPL heri ukamnunue Ruben neves ambaye tayari ameshaprove katika EPL
Sent using Jamii Forums mobile app
 


Rabiot Mimi pia huwa nampenda kama mchezaji na nifundi haswa sema nakubaliana na wadau waliopita kwamba nae ana matatizo yake esp attitude hvyo ni gamble kumleta pia sidhani kama ataleta balance kwenye midfield maana na ni type za kina Pogba kwamba sio type za kukaba hvyo kitakachotokea hapo mzigo wa kukaba hapo utakuwa kwa DM na beki basi kama ukitumia mfumo wa 4-3-3, kitu ambacho kitatucost maana hatuna DM world class kama Kante au Fernandinho pale,hvyo naona KAMA unachagua kati ya Neves na Rabiot its better umchukue Neves ambae kwa mtizamo wangu ni more complete sema ofcoz bdo sio top level.
 
thanks brother kwa uchambuzi wako, sina cha kuongeza kwa sababu ni dhambi kubwa sana kumpinga mwenzako bila ya kuwasilisha ushahidi wa kutosha.

una mtazamo gani kuhsuiana na situation ya herrera ndani ya klabu hususani baada ya kuvuma taarifa za kukubali kwake kujiunga na PSG haijalishi ya kwamba leo ni siku ya wajinga duniani.

  • unadhani ni jambo sahihi kwa klabu kumruhusu ander herrera aondoke akiwa mchezaji huru kwa sababu ya kushindwa kuafikiana kimaslahi?
  • kwa maoni yako unadhani madai ya herrera ni ya msingi kutokana na kuhitaji kwake mshahara unaofikia paundi 200000 kwa wiki kutokana na mchango wake ndani ya klabu?
 
Rabiot hawezi flop mkuu physical Yupo vzuri na anauwezo wa kutosha sana on the ball...gane nyng ngumu za PSG yeye ndo alionekana hai...kumbuka game name madrid

Sent using Jamii Forums mobile app

Alinifurahisha ile game waliyomuua Barca 4-0 kama sikosei yeye ndo alikuwa Man of the Match alipiga mpira mwingi sana ile game mpka akampoteza Verrati ambae nae alicheza vizuri sana!
 
Haya ni mawazo ya kimasikini. Unataka kusema Man city hatuwezi kumfunga Man u pale kwake na tukaendeleza mbio za ubingwa?
Na game haijabaki ya man u tu kuna game nyingi ko msubiri msimu huishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United boss Ole Gunnar Solskjaer says he is ready to work alongside a technical director to "split responsibilities".

After Jose Mourinho's sacking, United sources indicated the club wanted to change its structures and bring in someone who could have an input into all major footballing decisions.

Despite Solskjaer's permanent appointment last week, it is understood that remains the case with United hopeful of making an announcement by the start of next season.

The 46-year-old was given a three-year contract on Thursday.

"I'm happy talking and discussing football with knowledgeable people in the right positions," said Solskjaer.

"The demands of football nowadays mean you definitely have to split responsibilities." Source
 
Aise mechi ya leo ni must win.

Wolves- away
West ham-home
Everton-away
Man city-home
Chelsea -home
Huddersfield-away
Cardiff city- home

Baada ya mechi ya leo ni barcelona.
Weekend hatuna mechi.

Sent using simu mbovu
 
Kambi ya Herrera pia ilitumia hii opportunity kutaka mshahara mpya lkn kwa umri wa miaka 29 hastahili kulipwa hizo £200k kwa wiki sabab mbali na upambanaji wake Herrera na love alinayo kwenye club lkn tuseme ukweli sio mchezaj wa kiwango kikubwa sana zaidi tunachompenda ana ile fighting spirit...

Hao PSG tu wamemuahidi £150k why sisi tumpe 200k toka £75k kwa jumla kwa mchezaj wa miaka 29 anaelekea 30.

Fellain mzee baba alikuwa hafiki £150K kwa juma na kuuzwa £25m ni kutokana na eneo aliloelekea China ww unadhan nani ulaya alikuwa tayari kulipa zaidi ya £13m kwa Big Fella kutokana na umri wake + kiwango duni.

Club wanatoa hela tatizo uwezo wa convincing kwa Ed Edwood kupata wachezaji bora on bargain ndo shida au kukamilisha dili on time lkn club sio wabahili sana kwenye pesa.

Aende Herrera lete Tanguy Ndombele naona bado timu itaenda Ku balance alaf kuondoka kwa Herrera sio lazima united ikaenda kusain ma-mido wawili wapya sabab eti walikuwa na demand na mido mmoja before. Mmoja tu anatosha zaidi labda auzwe mwingine ili kuingia mwingine.

Club sasa inajitahid kuondokana na kulipa mishahara ya kichizi kwa wachezaji wake alaf viwango vyao vya kawaida pia itaondosha kwa wachezaji wapya watakaoingia ku-demand mishahara mikubwa.

Pia kuna kitu braza kinaitwa financial fair play (FFP) so huwezi kutoa mihela tu huku vitabu vyako vya matumizi haviingizi kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…