Wengi wa wachezaj katika hii list wamehofia kuwa na majeruhi zaidi lkn si kwamba wote walikua na serious injuries, hata ukiangalia trend ya majeruh kwa hawa wachezaj kuanzia mwezi Feb ni kubwa sana.hawa ndio wachezaji wa United ambao waliyokosa kuwakilisha mataifa yao sababu ya injuries
Shaw
Rashford
Martial
Matic
Lukaku
Lingard
na hawa ndo wachezaji wanaotegemewa kuanza dhidi ya Watford this weekend
Shaw
Martial
Matic
Lukaku
Lingard
Lakini uliona comment ya Southgate kuhusu J. Lingard? Alijitoa kwny timu ya taifa kwa kupata majeraha madogo lkn akaja siku chache mbele akaanza mechi na Wolves.hawa ndio wachezaji wa United ambao waliyokosa kuwakilisha mataifa yao sababu ya injuries
Shaw
Rashford
Martial
Matic
Lukaku
Lingard
na hawa ndo wachezaji wanaotegemewa kuanza dhidi ya Watford this weekend
Shaw
Martial
Matic
Lukaku
Lingard
A true definition of loyalty. Itaniuma sana kama hawatamsainisha mkataba mpya na nyongeza ya mshahara akaondoka bureView attachment 1055237
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii timu iuzwe na hao wote waondoke ije safu mpya ya uongozihuu mjadala unaohusu uendeshwaji wa klabu ya man utd unaongoza kujadiliwa humu ndani kuliko mjadala unaohusu uchovu wa baadhi ya wachezaji wanaounda kikosi cha kwanza, yameshazungumzwa mengi sana hivyo basi ni bora niishie kuwa msomaji zaidi wa mawazo ya wenzangu nipate kujifunza zaidi kuliko kurejea maneno.
unamfahamu matt judge?
ndiye right hand man wa sheikh woodward na ndiye muhusika mkuu wa deal zote zinazofanyika kuhusiana na wachezaji pamoja na mikataba yao wanayosaini.
ni mhitimu wa masters degree in economics and finance na uzoefu wake ni miaka 13 kwenye sekta ya uwekezaji wa benki pamoja na negotiation na ameajiriwa mwaka 2012 nyakati ambazo fergie ndio mwaka wake aliostaafu soka.
nimebaki najiuliza mwanadamu mwenye uzoefu wote huu anakubali vipi kuuziwa fred kwa paundi milllion 50?
mwanadamu kama huyu anakubalije antony martial alipwe paundi 200000 kwa wiki kwa mujibu wa daily mail?
anakubalije mchezaji aliyecheza vizuri kwa miezi 5 tu luke shaw alipwe paundi 170000 kwa mujibu wa magazeti?
anakubalije phil jones alipwe paundi 120000 kwa wiki haliyakuwa msimu mzima anauguza kitandani?
Ok , kwamba sisi ambao hatukubaliani na wewe, kwenye swala la pogba, ndio huwa tunafuatilia man u kupitia live score?Kitu nilichoona humu kuna mashabiki ambao wao wakiangalia tu matokeo ya Live Score Man ameshinda wanaridhika
NA
Kundi la pili ni wale wanaopenda kila kitu kuhusu Manchester United, History, Pride, soccer side off the pitch, soccer side on the pitch. Hili kundi hata timu ya Academy au Wanawake ya Manchester wakicheza linataka ushindi.
Kwa hiyo hapa ni ngumu sana kuja kuelewana kwenye topic ya Pogba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza naomba nianze kwa kusema kuwa huwa Napenda sana michango yako humu ndanihuu mjadala unaohusu uendeshwaji wa klabu ya man utd unaongoza kujadiliwa humu ndani kuliko mjadala unaohusu uchovu wa baadhi ya wachezaji wanaounda kikosi cha kwanza, yameshazungumzwa mengi sana hivyo basi ni bora niishie kuwa msomaji zaidi wa mawazo ya wenzangu nipate kujifunza zaidi kuliko kurejea maneno.
unamfahamu matt judge?
ndiye right hand man wa sheikh woodward na ndiye muhusika mkuu wa deal zote zinazofanyika kuhusiana na wachezaji pamoja na mikataba yao wanayosaini.
ni mhitimu wa masters degree in economics and finance na uzoefu wake ni miaka 13 kwenye sekta ya uwekezaji wa benki pamoja na negotiation na ameajiriwa mwaka 2012 nyakati ambazo fergie ndio mwaka wake aliostaafu soka.
nimebaki najiuliza mwanadamu mwenye uzoefu wote huu anakubali vipi kuuziwa fred kwa paundi milllion 50?
mwanadamu kama huyu anakubalije antony martial alipwe paundi 200000 kwa wiki kwa mujibu wa daily mail?
anakubalije mchezaji aliyecheza vizuri kwa miezi 5 tu luke shaw alipwe paundi 170000 kwa mujibu wa magazeti?
anakubalije phil jones alipwe paundi 120000 kwa wiki haliyakuwa msimu mzima anauguza kitandani?
Hawa watu wanajua wanachokifanya kuliko sisi“You know our squad, it's very good, It'll need adjustments but not a revolution. I'm sure there will be some exciting new players coming."
Ferran Soriano manchester city CEO.
Hii habari ni muhimu zaidi kiupande wetu kuliko mjadala wa paul pogba.
kabisa na hawakurupuki, muda huu naamini target zao zote wameshazifahamu.Hawa watu wanajua wanachokifanya kuliko sisi
Hata Maguire Bei yake sio ya mchezo mchezo, Spurs wataka 100+ milion
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah HIV man u mnataka wachezaj wa aina gani lakini,
Mimi katika viungo nawakubali ni Paul pogba ,ana skills, ana mashuti, anajua kuassist, ana nguvu
Mnataka kiungo wa namna gani tena, huyu jamaa ni kati ya viungo bora watano duniani,
Kwanza pogba ndio mchezaji ambaye anaingia MOJA kwa MOJA kwenye falsafa ya man u ,ya kuattack kwa kushtukiza , anajua kutuma ile mipira ambayo huwa Mara nyingi rashford au lukaku wanafaidika nayo.
Huyu jamaa mtafutieni watu wakueleweka kama wawili tu, Pogba ni hatari sana, muangalie game za France , juzi kampa pasi MOJA Grizeman ,ile assist ni ya kiufund sana,
Sasa pogba mtafutien watu ,walio clinical,
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Mi Ukiniambia nichague Maguire na Varane sahv nachukua Maguire bila kupepesa macho!
hizi ni chuki za wazi wazi mnazoonesha sasa hebu nambi kati ya Ashley Young na Pogba nani anaeigharimu timu??
Mkuu afadhali na wewe umeliona kama mimi. Tumekuwa tukimwangalia pogba kwa mazuri yake ila ana makosa mengi sana ambayo hutegemei kuyakuta kwa average midfield player. Mbaya zaidi tunafanya build up kupitia kwake.
Kuna madogo wengi wanakaza sana pale kati.
Mimi huwa nachukia sana kumuona Pereira bench wakati anaweza kucheza nafasi nyingi tu na akafanya vizuri.
Kumuona Pogba anacheza 10 wakati mata yupo bench ni kama kumtusi Mata.