Ya nini kuwa na mchezaji ambae kila siku anazungumzia kucheza barca au Madrid, tunataka mchezaji ambae yupo committed sio nyangema anae tutumia kama stepping stone.Wanataka nafasi ya Pogba acheze McTominay ndo tuone kuingo kiko stable..pathetic
Leicester sio spursHata Maguire Bei yake sio ya mchezo mchezo, Spurs wataka 100+ milion
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesepa akina Ronaldo itakuwa Pogba..so point yenu ni kuwa Pogba hachezi serious??Ya nini kuwa na mchezaji ambae kila siku anazungumzia kucheza barca au Madrid, tunataka mchezaji ambae yupo committed sio nyangema anae tutumia kama stepping stone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuondoka kwa Ronaldo kulikua professional na alionesha kuijari club, sikumbuki Ronaldo akiziongelea madrid na barca kuwa ni ndoto yake kuchezea timu hizo akiwa bado yupo Manchester.Wamesepa akina Ronaldo itakuwa Pogba..so point yenu ni kuwa Pogba hachezi serious??
makosa ni makosa tu usimsafishe Young kwa uupuzi anaofanyagaMakosa ya Ashley ni makosa ya kawaida sana kiuchezaji.
Makosa ya Pogba ni ya kitoto na masifa mengi.
usiseme kuondoka kwa Ronaldo ilikuwa professional sema hukusikia Ronaldo alisema nini kabla ya kuondokaKuondoka kwa Ronaldo kulikua professional na alionesha kuijari club, sikumbuki Ronaldo akiziongelea madrid na barca kuwa ni ndoto yake kuchezea timu hizo akiwa bado yupo Manchester.
In short pogba haiheshimu Manchester he's here for money n nothing more. Fuatilia interview ya Kante ya juzi alipoulizwa swali kuhusu yeye kuhamia Madrid alafu ulinganishe na alichokijibu huyu mpuuzi wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Professional kivipi??..una uhakika kuwa Ronaldo hakuwahi kuzungumzia kuondoka kabla hajaenda Madrid??Kuondoka kwa Ronaldo kulikua professional na alionesha kuijari club, sikumbuki Ronaldo akiziongelea madrid na barca kuwa ni ndoto yake kuchezea timu hizo akiwa bado yupo Manchester.
In short pogba haiheshimu Manchester he's here for money n nothing more. Fuatilia interview ya Kante ya juzi alipoulizwa swali kuhusu yeye kuhamia Madrid alafu ulinganishe na alichokijibu huyu mpuuzi wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu licha hata ya kuongelea ishu za Madrid kuna watu kibao wanaona Pogba hastahili kuwa pale OTKitu nilichogundua hapa ni kwamba watu wanamchukia Pogba sababu anatamani siku acheze Madrid na kwamba amekosa heshima kuropoka kwenye media,alichokifanya Pogba sio sahihi na kawakera mashabiki wengi wa UTD hyo ni kweli lakin msianze kuongea upuuzi kuhusu kiwango chake, mtu ni KEY PLAYER kwenye timu iliyoshinda World cup na alipiga bao Finali lazima ukubali uwezo wake umpende usimpende hata wapinzani wa UTD wanajua Pogba ni fundi sasa inashangaza sana kuona mashabiki wa UTD wakiongea otherwise! hebu nitajieni viungo n.o 8 watano pale PL wanaomzidi uwezo Pogba kama kweli mnaamini ni mchezaji wa kawaida
Kuondoka kwa Ronaldo kulikua professional na alionesha kuijari club, sikumbuki Ronaldo akiziongelea madrid na barca kuwa ni ndoto yake kuchezea timu hizo akiwa bado yupo Manchester.
In short pogba haiheshimu Manchester he's here for money n nothing more. Fuatilia interview ya Kante ya juzi alipoulizwa swali kuhusu yeye kuhamia Madrid alafu ulinganishe na alichokijibu huyu mpuuzi wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sio pale EPL tu sema dunianiKitu nilichogundua hapa ni kwamba watu wanamchukia Pogba sababu anatamani siku acheze Madrid na kwamba amekosa heshima kuropoka kwenye media,alichokifanya Pogba sio sahihi na kawakera mashabiki wengi wa UTD hyo ni kweli lakin msianze kuongea upuuzi kuhusu kiwango chake, mtu ni KEY PLAYER kwenye timu iliyoshinda World cup na alipiga bao Finali lazima ukubali uwezo wake umpende usimpende hata wapinzani wa UTD wanajua Pogba ni fundi sasa inashangaza sana kuona mashabiki wa UTD wakiongea otherwise! hebu nitajieni viungo n.o 8 watano pale PL wanaomzidi uwezo Pogba kama kweli mnaamini ni mchezaji wa kawaida
"I would like to play for Real Madrid but only if it is true they are ready to pay what Manchester United ask of them. However, it does not depend on me." Maneno ya Ronaldo hayo 2008. Source
Nadhani wewe ndio umeelewa nilichoongea hao wengine wanapiga nduru tu, ONLY IF IT IS TRUE AND THEY ARE READY TO PAY WHAT MANCHESTER UNITED ASK OF THEM.
then niletee na utumbo anaokua anaongea mkata viuno wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaa atafanyaje kazi na mchumia tumbo Kama wewe, siwezi kufanyakaz na wapimbavu,maanina wewe.kwahiyo kwa upande wako sasa au lets assume we ndo player halafu bosi wako kaleta mkataba mezani wewe hujakubaliana nao ukakataa means na wewe ni "mpumbavu" na hauna discipline kwahiyo bosi wako akuache hawezi fanyakazi na "mjinga" kama wewe
according to your words
Nadhani wewe ndio umeelewa nilichoongea hao wengine wanapiga nduru tu, ONLY IF IT IS TRUE AND THEY ARE READY TO PAY WHAT MANCHESTER UNITED ASK OF THEM.
then niletee na utumbo anaokua anaongea mkata viuno wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulinganisha vitu vya ajabu na Roy keane.Rahisi tu,
Pogba ni mercenary, anafanya United kama daraja la kwenda kucheza kwenye timu za ndoto zake (Madrid na Barca, ametamka wazi)
Wakati Herrera play for the badge (calibre ya akina Roy Keane)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wala usiangaike, kuna watu hawampendi tuu ,hebu nambie mnataka Pogba acheze namna gani ili mjue kuwa anaipambania timu??
ni kweli Pogba aipambanii timu??