Hapana Barca na City sio tishio, tunajua Liverpool akikutana na City lazima amnyooshe. Barca wanamtegemea sana, ukimzuia Messi umeizuia Barca.
Timu za kuogopa ni Porto na Ajax, hawa hawana chakupoteza, kufika quarter final ni hatua kubwa kwao kwa sasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums