Tulishinda sio kwa magoli ya bahati kama asenoWe football uijui vizuri siku zote it is game of chance ndiyo maana wakagongwa, psg alipiga mpira mkubwa lakini man u ikashinda unashangaa nn sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi shabikia oil money team
Wewe katikati pogba ,matic walifanya nini zaid ya kuzurula tuHamjakatazwa kushangilia ushindi ila ongea ukweli ndo nachosema mm hapa kama huelewi hyo ni shida yako,hakuna mshabiki wa UTD aliyesema kwamba tumewazidi mpira PSG au tulitawala zaidi mpira, hilo jambo lilikuwa wazi, pia hakuna mtu alietegemea tutashinda na tukashinda na watoto...nyie wenyew hamkutegemea mtatoka na ushindi, ss mnaanza kelele za kwamba mlituzidi kwenye kutawala mpira kitu ambcho sio fact.
Kwahiyo mnabisha hatukutawala? Hizo possession unazotaka kudai mlitawala ni mwisho baada ya kuwa mmebakwa,tukawaacha mposesi back passKwan nani anashangaa minilikuwa nampinga hyo ndugu yenu aliekuwa anasema mmetawala sana mpira kutuzidi sisi,ushindi ni kweli mmeshinda hyo hatukatai na ni haki yenu kufurahi, maana huwa tunawafunga sana ila msiongee kama mlipiga mpira mwingi wkati wote tunajua mlibahatisha tu.
Unamaanisha nini:"Ubingwa unakimbia"?
Eti upepo,Shida ndo hii ukianza kuongea mpira na watoto,zingatia nilichoandika kwanza kabla ya kukurupuka, mwenzako alidai mliongoza possesion na akaongea kana kwamba mlicheza mpira kutuzidi sana ila ukiangalia stats hapo mlichotuzidi ni magoli tu ambayo ukifatilia ni ya bahati tu...goli la kwanza upepo ulimchanganya keeper la pili mlibebwa na Refa kwa kupewa penalti..
Kichwa chako inakiona chepesi wakati mgando umeshaambiwa soccer is a game of chance bado unaleta blabla, we umeshagongwa acha kujifariji kama mlicheza mbona hata la offside hamkupataInaonekana unakichwa kigumu sana ww mpka sahv huelewi tulikuwa tunajadili nn, hapa napoteza muda tu kuendelea na hii mada, mwenzako niliokuwa naongea nae mwanzo nadhani ameelewa.
Ball possession PSG 72% Man u 28% mbona mlishangilia ushindi wala hamkusema mme bahatisha acha unazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Man U wenyewe waliipata iyo bahati kwa PSGMuda mwingine naamini mpira bahati tu.....aseno mliipata juziView attachment 1044254
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado point sita genk ashushwe hapoUnamaanisha nini:"Ubingwa unakimbia"?
Naona Genk bado wanaongoza.Kwani walikuwa wametangulia "points" ngapi?