Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tufanye 2-2 basView attachment 1044232
Yaan huoni hata aibu? Mechi ilishapita watu mpka leo mnaendelea kuiongelea utafikiri mlipiga mpira mwingi Arsenali bwana
Hahaa wanashangaa kuizungumzia mechi mpaka leo wakati wao wakipata goli 1 tu wanashangilia kila chenga inayopigwa
Huwa mnachekesha sana kunatimu inayoshinda kibahati kama hawa nyumbuMuda mwingine naamini mpira bahati tu.....aseno mliipata juziView attachment 1044254
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati wapi watu wamejituma ,Muda mwingine naamini mpira bahati tu.....aseno mliipata juziView attachment 1044254
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kuna watu bado wanahofu na olesendeka huko mbeleni maana anabahatisha tuHuwa mnachekesha sana kunatimu inayoshinda kibahati kama hawa nyumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zali lile nyau nyieeeeHuwa mnachekesha sana kunatimu inayoshinda kibahati kama hawa nyumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu siyo wengi ana badilika kama kinyonga na bado mtagongwa sana na wachezaji wenu wa bei mbaya
Siyo wengaHuyu siyo wengi ana badilika kama kinyonga na bado mtagongwa sana na wachezaji wenu wa bei mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajiandae na magarasa yao ya bei mbayaHuyu siyo wengi ana badilika kama kinyonga na bado mtagongwa sana na wachezaji wenu wa bei mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mlipiga mpira mwingi ilikuwaje mkabakwa 2-0
Na kiungo chenu kikawa kama kimefungwa mawe miguuniView attachment 1044243
Sent using Jamii Forums mobile app
We football uijui vizuri siku zote it is game of chance ndiyo maana wakagongwa, psg alipiga mpira mkubwa lakini man u ikashinda unashangaa nn sasaShida ndo hii ukianza kuongea mpira na watoto,zingatia nilichoandika kwanza kabla ya kukurupuka, mwenzako alidai mliongoza possesion na akaongea kana kwamba mlicheza mpira kutuzidi sana ila ukiangalia stats hapo mlichotuzidi ni magoli tu ambayo ukifatilia ni ya bahati tu...goli la kwanza upepo ulimchanganya keeper la pili mlibebwa na Refa kwa kupewa penalti..
We football uijui vizuri siku zote it is game of chance ndiyo maana wakagongwa, psg alipiga mpira mkubwa lakini man u ikashinda unashangaa nn sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ball possession PSG 72% Man u 28% mbona mlishangilia ushindi wala hamkusema mme bahatisha acha unaziKwan nani anashangaa minilikuwa nampinga hyo ndugu yenu aliekuwa anasema mmetawala sana mpira kutuzidi sisi,ushindi ni kweli mmeshinda hyo hatukatai na ni haki yenu kufurahi, maana huwa tunawafunga sana ila msiongee kama mlipiga mpira mwingi wkati wote tunajua mlibahatisha tu.
Ball possession PSG 72% Man u 28% mbona mlishangilia ushindi wala hamkusema mme bahatisha acha unazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Possession ya nn what matters ni point 3 tulizochukua, na tulijua hamtoki mlikuwa mnajidanganya na draw ya liverpool na ushindi wa psg mkajazana vibanda umiza mkatoka vichwa chiniHamjakatazwa kushangilia ushindi ila ongea ukweli ndo nachosema mm hapa kama huelewi hyo ni shida yako,hakuna mshabiki wa UTD aliyesema kwamba tumewazidi mpira PSG au tulitawala zaidi mpira, hilo jambo lilikuwa wazi, pia hakuna mtu alietegemea tutashinda na tukashinda na watoto...nyie wenyew hamkutegemea mtatoka na ushindi ss mnaanza kelele za kwamba mlituzidi kwenye kutawala mpira hitu ambcho sio fact.
Possession ya nn what matters ni point 3 tulizochukua, na tulijua hamtoki mlikuwa mnajidanganya na draw ya liverpool na ushindi wa psg mkajazana vibanda umiza mkatoka vichwa chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unaomba mi nikajua we utaingia kuchezaWajiandae na magarasa yao ya bei mbaya
Na kufikia sasa tunaomba Chelsea na man city wasituangushe wawapeleke MOJA kwa MOJA mtaa wao wa 6View attachment 1044268
Sent using Jamii Forums mobile app