Hawana uwezo hata wakupata sare kwa man city huo ni ukweli mchunguMANYUMBU habari zenu!!? Dhumuni la barua hii ni kuwaomba mechi yenu na man cty muwafunge kama hamtaki basi bakini huko huko chini huku juu tusiwaone, hili sio ombi ni lazima. Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe tunazungumzia matokeo ya jana, mimi nilidhani tunazungumzia Man Utd na ArsenalTunazungumzia matokeo ya Jana
Wewe VIP mbona unahama mada
Ulileta uchambuzi uchwara , unajifanya mganga wa kienyeji
Haya yakowapi sasa ...unatema povu tuView attachment 1043019
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifariji ila Jana ulibakwaKumbe tunazungumzia matokeo ya jana, mimi nilidhani tunazungumzia Man Utd na Arsenal
Kama ni matokeo ya jana, yapo Liverpool na Burnley, yapo ya Chelsea na Wolves n.k
Kama tunazungumzia hizi timu mbili huwezi kukwepa kuzungumzia hili picha la kutisha mlilokumbana nalo 2011View attachment 1043026
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshalawitiwa mara nyingi mno weweJifariji ila Jana ulibakwa
2 nil
3 points
Cleensheet
View attachment 1043030
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo sio matokeo ya Jana
Hayo sio matokea ya kihistoria, matokeo yanayowavua nguo ni hayaHayo sio matokeo ya Jana
Ya Jana haya hapa
Usijisahaulishe
Tupo na mechi ya janaView attachment 1043043
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya Jana ni hayaHayo sio matokea ya kihistoria, matokeo yanayowavua nguo ni hayaView attachment 1043047
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Ass anal hajawahi kuchukua UCL, kumbe amebeba aisee......... Labda kwenye gameMatokeo ya Jana ni haya
Usijifanye hujui nini kimetokea janaView attachment 1043049
Sent using Jamii Forums mobile app
Sielewi mtu anayetaka tushinde mechi zote.Waajabu sana mkuu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Jifariji ila Jana ulibakwa
2 nil
3 points
Cleensheet
View attachment 1043030
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifariji ila Jana ulibakwa
2 nil
3 points
Cleensheet
View attachment 1043030
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli hatuyachukui maoni yako, kwani haya ni matatizo ya timu zote duniani(ukiondoa ile Barca ya kina Messi,Iniesta ya emzi zile)Ila sisi man u kuna matatizo tunatakiwa kuya solve.
Tukikutana na decent team inayopress, mfano arsenal jana.
Pale kwenye midfield huwa hapaeleweki(hata wawepo PMH), pasi zinapotea sana.
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri hata leiceter city walitupa shida kwenye midfield.
Kingine huyo lindelof ni mzuri kuanzisha mashambulizi, tatizo yeye ni RCB, lakini an anachezeshwa LCB, sababu hatuna LCB mzuri zaidi yake.
Hii inamfanya hasianzishe mashambulizi vizuri kutokea nyuma.
Timu yetu ina matatizo kibao, RW, RB, hata matic na herrera kwa top team in europe , ni squad players tuu.
Haya ni maoni yangu tuu si lazima yawe sahihi.
Sent using simu mbovu
Mkuu sorry huyo jamaa nimemuacha ,nimeiona ananipotezea time tu,Hivi wewe una umri gani? Maana inawezekana mnabishana na watoto humu hamjui..
Mlibalance mchezo. Kaangalie statistics possession ilikua juu kwa nani, sio unamwaga uozo wako hapa. Mechi tatu unashinda moja bado unajiona una timu, ptuuuu...Katikati hamkucheza hasa dk 20 za mwanzo
Mpaka pale mlipobadil mfumo, napo tayari sis tulikuwa na matokeo ,hivo tukawa tunacheza kulinda ushindi
Hii ni tactic ya unai ,akishapata matokeo bas mpinzan atachezacheza hapo kati lkn mech inakuwa imeshaisha
Tulifanya hivi kwa Chelsea ,tulimkamata dk 20 ,tukapata magoli mawili,
Dk zilizobak yeye ndio alicheza hapo katikati,
Ndio maana ukiangalia kipind cha kwanza possession Tuliwazid,
Kipind cha pili tukabalance mchezo, ni TACTIC tu hasa Unai akishapataga matokeo
Emery "We knew United could use different tactics but we wanted to impose our gameplan & we did that. I want to say thank you to our supporters because they helped us a lot & I think we can create a big atmosphere like today in the next matches because I think its very important"
"I'm very proud of our players. They gave all they could against the best team at this moment. We were playing very competitive for 90 minutes & I think we deserved this victory. We can be happy today" #Arsenal Gurjit on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, nimependa hii..nadhani huyu bwana hatarudia kuleta uongo uongo wake tena hapa..Kawadanganye wenzako huko eti hiyo ndio mbinu ya Unai akitangulia, mkishinda unakuja vistori vya uongo na kweli
Na ya Rennes Arsenal si ilitangulia kuongoza, nini kilimkuta?
Unaleta uongo uongo humu jukwaani
Arsenane mkubwa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Uozo unaongea ww, kaangalie kipind cha kwanza mlifanya nn hapo kati,Mlibalance mchezo. Kaangalie statistics possession ilikua juu kwa nani, sio unamwaga uozo wako hapa. Mechi tatu unashinda moja bado unajiona una timu, ptuuuu...
Sent using Jamii Forums mobile app