Unachokizungumza ni sahii mkuu ila napingana na wewe kwenye swala la kusema OGS ni muoga Imagine alikua na week 3 tu toka ateuliwe akaingia kwenye transfer windowMkuu hapa mimi ni mmoja wapo, tena wala si kitu cha kuchekesha..!!
Tena hapa nikiri ni mmoja wa tuliomtaka kwa udi na uvumba Mr Mourinho, ila si kama kocha wa kudumu bali wa muda mfupi kwaajili ya kurejesha heshima ya timu baada ya kuflop kwa miaka minne mfululizo kipindi cha Mr Macho na LVG. Sote tunajua Mou ni mtu anayetengezeza timu ya mafanikio kwa muda mfupi na kamwe si kwa muda mrefu.. ni bahati mbaya kwamba Bodi ilimuongezea mkataba baada ya mafanikio kwenye Europa.
Nikija kwa Poch,
Poch ni mjenzi wa timu haswa... ni mkufunzi wa mpira wa kushambulia falsafa ambayo Man u ndio mpira wetu. Ni Meneja ambae mafanikio yake yameonekana wazi tangu akiwa huko Southampton mpk hii leo hapo Tot.. tumeona kwa miaka minne namna ambavyo Tot wamekuwa washindani wa kweli kwenye league na hata Ucl tena kwa bajeti ndogo na ya kawaida tu, ni bahati mbaya wamekosa vikombe kipindi chote hicho nadhani ni uzoefu tu ndio unawasumbua na hili tunaliona hata kwa kocks kwenye league.
Kwa OGS (naheshimu sana kazi yake)
Lakini simuoni kama ni kocha wa kudumu wa Man u, Ogs amechukua timu kipindi ambacho kila mchezaji alishamchoka kama si kugombana na Mou, Morali ya timu ilikuwa chini kupita maelezo... ilifikia kipindi hata Man u ikicheza na Crystal palace mtu unaangalia mpira kwa kutetema kwa hofu ya kufungwa muda wowote.. Hili Ogs amelitumia kama fulsa ya kuinyanyua timu.. So ni kama Ogs amewaruhusu tu wachezaji kufanya wanachokita uwanjani.. lakini kwahakika mpaka leo bado hajapandikiza zile mbinu za kocha ambazo kila mtu ataona hapa bila kocha flan pengine tusingeshinda.. ama tungefungwa.
Ukitaka kuliona hili kwa uwazi hebu angalia pale man inapocheza na timu za top 5 kwenye league na mechi mbili za psg. Utaona wazi kwamba licha ya kwamba timu inashinda lakini inapata shida sana kuupata ushindi huo kitu ambacho hakikuzoeleka kipindi cha babu feggie.. unajua kama tunataka timu ifanye vizuri tusimpimie Ogs na hawa kina Macho,Lvg na Mchonga.. kipimo sahihi kwa Ogs kiwe kwa Feggie. Ogs mpaka sasa bado hajafanya usajiri wowote licha ya hapo January kuwepo kwa dirisha la usajili na namna timu ilivyokuwa sote tunafahamu. So kwa namna nyingine namuona ni muoga anaogopa lawama.
Nikisema haya si kwamba simuheshimu OGS wala kwamba nampinga ila nabaki palepale kwenye point yangu kwamba ninaona si kocha sahihi kulinganisha na Poch haya ni maoni yangu mkuu nadhani hata wewe unamtazamo wako... tusilewe sana na huu upepo wa muda mfupi... tukumbuke kunakipindi matokeo ya upepo hupita zinabaki hali ngumu.... sioni shabiki wa kusimama na Ogs pindi tutapopata labda sare tatu mfululizo na vichapo kadhaa... (nyakati hizi zipo) ni kweli tutaendelea kumuunga mkono? Au tunaangalia hapa..... bila kuona kuleeee....
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Makocha wengi kwa asilimia kubwa waliofanikiwa kubeba mataji mengi ni wale wanaojua utamaduni husika wa klabu.Unachokizungumza ni sahii mkuu ila napingana na wewe kwenye swala la kusema OGS ni muoga Imagine alikua na week 3 tu toka ateuliwe akaingia kwenye transfer window
Unahis kama ni kocha sahihi ni bora ukanunue mchezaji wakat team yako bado hujaisoma vizur au mapungufu yao ni yap na wap kwa kuongeza
Before OGS kila mtu alikua anasema Linderlof sio beki mzur ila baada ya kuja Linde ameonyesha kwamba anaweza kufanya kazi vzur tu akiamniwa
For my end naona maamuz ya kutosajili yalikua sahihi kwanza atengeneze team yale plus kurudsha confidence ya wachezaj iliypotea
Just imagine game na PSG kwa crisis ile ya.majeruh ingekua enzi za Jose tungesemaje sidhan kama kuna mtu angejisumbua kwenda hata kuangalia.
So OGS ametengeza team yake Inshallah akipewa contract July atakua ameshajua mapungufu ni yap na wap kwa kusajili
Unachokosea ni kumuangalia OGS na sio benchi nzima.Mkuu hapa mimi ni mmoja wapo, tena wala si kitu cha kuchekesha..!!
Tena hapa nikiri ni mmoja wa tuliomtaka kwa udi na uvumba Mr Mourinho, ila si kama kocha wa kudumu bali wa muda mfupi kwaajili ya kurejesha heshima ya timu baada ya kuflop kwa miaka minne mfululizo kipindi cha Mr Macho na LVG. Sote tunajua Mou ni mtu anayetengezeza timu ya mafanikio kwa muda mfupi na kamwe si kwa muda mrefu.. ni bahati mbaya kwamba Bodi ilimuongezea mkataba baada ya mafanikio kwenye Europa.
Nikija kwa Poch,
Poch ni mjenzi wa timu haswa... ni mkufunzi wa mpira wa kushambulia falsafa ambayo Man u ndio mpira wetu. Ni Meneja ambae mafanikio yake yameonekana wazi tangu akiwa huko Southampton mpk hii leo hapo Tot.. tumeona kwa miaka minne namna ambavyo Tot wamekuwa washindani wa kweli kwenye league na hata Ucl tena kwa bajeti ndogo na ya kawaida tu, ni bahati mbaya wamekosa vikombe kipindi chote hicho nadhani ni uzoefu tu ndio unawasumbua na hili tunaliona hata kwa kocks kwenye league.
Kwa OGS (naheshimu sana kazi yake)
Lakini simuoni kama ni kocha wa kudumu wa Man u, Ogs amechukua timu kipindi ambacho kila mchezaji alishamchoka kama si kugombana na Mou, Morali ya timu ilikuwa chini kupita maelezo... ilifikia kipindi hata Man u ikicheza na Crystal palace mtu unaangalia mpira kwa kutetema kwa hofu ya kufungwa muda wowote.. Hili Ogs amelitumia kama fulsa ya kuinyanyua timu.. So ni kama Ogs amewaruhusu tu wachezaji kufanya wanachokita uwanjani.. lakini kwahakika mpaka leo bado hajapandikiza zile mbinu za kocha ambazo kila mtu ataona hapa bila kocha flan pengine tusingeshinda.. ama tungefungwa.
Ukitaka kuliona hili kwa uwazi hebu angalia pale man inapocheza na timu za top 5 kwenye league na mechi mbili za psg. Utaona wazi kwamba licha ya kwamba timu inashinda lakini inapata shida sana kuupata ushindi huo kitu ambacho hakikuzoeleka kipindi cha babu feggie.. unajua kama tunataka timu ifanye vizuri tusimpimie Ogs na hawa kina Macho,Lvg na Mchonga.. kipimo sahihi kwa Ogs kiwe kwa Feggie. Ogs mpaka sasa bado hajafanya usajiri wowote licha ya hapo January kuwepo kwa dirisha la usajili na namna timu ilivyokuwa sote tunafahamu. So kwa namna nyingine namuona ni muoga anaogopa lawama.
Nikisema haya si kwamba simuheshimu OGS wala kwamba nampinga ila nabaki palepale kwenye point yangu kwamba ninaona si kocha sahihi kulinganisha na Poch haya ni maoni yangu mkuu nadhani hata wewe unamtazamo wako... tusilewe sana na huu upepo wa muda mfupi... tukumbuke kunakipindi matokeo ya upepo hupita zinabaki hali ngumu.... sioni shabiki wa kusimama na Ogs pindi tutapopata labda sare tatu mfululizo na vichapo kadhaa... (nyakati hizi zipo) ni kweli tutaendelea kumuunga mkono? Au tunaangalia hapa..... bila kuona kuleeee....
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Approach na Mbinu za Mou zilikuwa zaidi kwenye kuzuia kufungwa na km goli/magoli yapatikane kwa kutumia vizuri makosa ya opponent. Sosha mbimu zake zimejikita zaidi kusaka magoli. Hata defense ipo constructed kwa namna ya kusaidia hiyo mission kwanza.Kwa maelezo hayo mkuu mbinu Ole hana kabisa ?
Huoni De gea kila akipata mpira huwa anamlenga lukaku ? Lukaku naye hufanya kila namna apige kichwa kwa wenzake ?
Mou anasifika kwa mbinu lakini tulikuwa tunaelekea wapi pamoja na mbinu zake ?
Kikubwa nachoona Club yetu iweke nguvu kubwa kusajili wachezaji wanaohitajika na wenye viwango vikubwa hizo mbinu zikianza kuelekezwa nadhani zitafanya kazi
Mou hakujua pia kwa ufasaha vipawa vya wachezaji alionao.Kwa maelezo hayo mkuu mbinu Ole hana kabisa ?
Huoni De gea kila akipata mpira huwa anamlenga lukaku ? Lukaku naye hufanya kila namna apige kichwa kwa wenzake ?
Mou anasifika kwa mbinu lakini tulikuwa tunaelekea wapi pamoja na mbinu zake ?
Kikubwa nachoona Club yetu iweke nguvu kubwa kusajili wachezaji wanaohitajika na wenye viwango vikubwa hizo mbinu zikianza kuelekezwa nadhani zitafanya kazi
Mkuu hapa mimi ni mmoja wapo, tena wala si kitu cha kuchekesha..!!
Tena hapa nikiri ni mmoja wa tuliomtaka kwa udi na uvumba Mr Mourinho, ila si kama kocha wa kudumu bali wa muda mfupi kwaajili ya kurejesha heshima ya timu baada ya kuflop kwa miaka minne mfululizo kipindi cha Mr Macho na LVG. Sote tunajua Mou ni mtu anayetengezeza timu ya mafanikio kwa muda mfupi na kamwe si kwa muda mrefu.. ni bahati mbaya kwamba Bodi ilimuongezea mkataba baada ya mafanikio kwenye Europa.
Nikija kwa Poch,
Poch ni mjenzi wa timu haswa... ni mkufunzi wa mpira wa kushambulia falsafa ambayo Man u ndio mpira wetu. Ni Meneja ambae mafanikio yake yameonekana wazi tangu akiwa huko Southampton mpk hii leo hapo Tot.. tumeona kwa miaka minne namna ambavyo Tot wamekuwa washindani wa kweli kwenye league na hata Ucl tena kwa bajeti ndogo na ya kawaida tu, ni bahati mbaya wamekosa vikombe kipindi chote hicho nadhani ni uzoefu tu ndio unawasumbua na hili tunaliona hata kwa kocks kwenye league.
Kwa OGS (naheshimu sana kazi yake)
Lakini simuoni kama ni kocha wa kudumu wa Man u, Ogs amechukua timu kipindi ambacho kila mchezaji alishamchoka kama si kugombana na Mou, Morali ya timu ilikuwa chini kupita maelezo... ilifikia kipindi hata Man u ikicheza na Crystal palace mtu unaangalia mpira kwa kutetema kwa hofu ya kufungwa muda wowote.. Hili Ogs amelitumia kama fulsa ya kuinyanyua timu.. So ni kama Ogs amewaruhusu tu wachezaji kufanya wanachokita uwanjani.. lakini kwahakika mpaka leo bado hajapandikiza zile mbinu za kocha ambazo kila mtu ataona hapa bila kocha flan pengine tusingeshinda.. ama tungefungwa.
Ukitaka kuliona hili kwa uwazi hebu angalia pale man inapocheza na timu za top 5 kwenye league na mechi mbili za psg. Utaona wazi kwamba licha ya kwamba timu inashinda lakini inapata shida sana kuupata ushindi huo kitu ambacho hakikuzoeleka kipindi cha babu feggie.. unajua kama tunataka timu ifanye vizuri tusimpimie Ogs na hawa kina Macho,Lvg na Mchonga.. kipimo sahihi kwa Ogs kiwe kwa Feggie. Ogs mpaka sasa bado hajafanya usajiri wowote licha ya hapo January kuwepo kwa dirisha la usajili na namna timu ilivyokuwa sote tunafahamu. So kwa namna nyingine namuona ni muoga anaogopa lawama.
Nikisema haya si kwamba simuheshimu OGS wala kwamba nampinga ila nabaki palepale kwenye point yangu kwamba ninaona si kocha sahihi kulinganisha na Poch haya ni maoni yangu mkuu nadhani hata wewe unamtazamo wako... tusilewe sana na huu upepo wa muda mfupi... tukumbuke kunakipindi matokeo ya upepo hupita zinabaki hali ngumu.... sioni shabiki wa kusimama na Ogs pindi tutapopata labda sare tatu mfululizo na vichapo kadhaa... (nyakati hizi zipo) ni kweli tutaendelea kumuunga mkono? Au tunaangalia hapa..... bila kuona kuleeee....
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
2021 tutawapiga 10-3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa nacheki hapa extended highlights za mechi za Arsenal na United
Nimefurahia sana mechi ya 2001, Final Score 6-1
Na ile ya ya miaka 10 ijayo, 2011, Final Score 8-2
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,Liverpool
Chelsea
Arsenal
Totenham
PSG
Mechi zote hizo ni upepo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwahiyo tupe mbadala wa OGS. Nani achukue nafasi ya OGS?Mkuu,
Nilichokiandika nadhani kinaeleweka, ukitembea na kaneno kamojamoja huwezi kuipata pointi yangu ... tatizo mashabiki tuliowengi wa mpira tunapenda mafanikio ya papo kwa papo bila kusahau kunanyakati ngumu.. nadhani hizo zipo... ndiomaana utaona wote hapa wanamshadidia Ogs ila subiri sasa tutoe sare mfululizo na vipigo kadhaa... ndio ninachozungumza hapa je tuko tayari kushikamana na Ogs ktk nyakati hizo au ndo tutaanza out out out...
Kwa jicho langu (Mimi) sioni kama tutakuwa na uvumilivu huo kwa Ogs it's just a matter of time..!! Sifingii na wala simuombei mabaya Ogs...BIG NO naomba nieleweke hivyo.
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bavaria,
Mkuu makocha wote wana high na low peaks. Kwa wakati Ole is good. Sometimes uzuri wa kocha inategemea factor nyingi na timu aliyonayo. Peps ni mzuri lakini anaangalia timu za kufundisha.Mkuu,
Nilichokiandika nadhani kinaeleweka, ukitembea na kaneno kamojamoja huwezi kuipata pointi yangu ... tatizo mashabiki tuliowengi wa mpira tunapenda mafanikio ya papo kwa papo bila kusahau kunanyakati ngumu.. nadhani hizo zipo... ndiomaana utaona wote hapa wanamshadidia Ogs ila subiri sasa tutoe sare mfululizo na vipigo kadhaa... ndio ninachozungumza hapa je tuko tayari kushikamana na Ogs ktk nyakati hizo au ndo tutaanza out out out...
Kwa jicho langu (Mimi) sioni kama tutakuwa na uvumilivu huo kwa Ogs it's just a matter of time..!! Sifingii na wala simuombei mabaya Ogs...BIG NO naomba nieleweke hivyo.
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa mimi ni mmoja wapo, tena wala si kitu cha kuchekesha..!!
Tena hapa nikiri ni mmoja wa tuliomtaka kwa udi na uvumba Mr Mourinho, ila si kama kocha wa kudumu bali wa muda mfupi kwaajili ya kurejesha heshima ya timu baada ya kuflop kwa miaka minne mfululizo kipindi cha Mr Macho na LVG. Sote tunajua Mou ni mtu anayetengezeza timu ya mafanikio kwa muda mfupi na kamwe si kwa muda mrefu.. ni bahati mbaya kwamba Bodi ilimuongezea mkataba baada ya mafanikio kwenye Europa.
Nikija kwa Poch,
Poch ni mjenzi wa timu haswa... ni mkufunzi wa mpira wa kushambulia falsafa ambayo Man u ndio mpira wetu. Ni Meneja ambae mafanikio yake yameonekana wazi tangu akiwa huko Southampton mpk hii leo hapo Tot.. tumeona kwa miaka minne namna ambavyo Tot wamekuwa washindani wa kweli kwenye league na hata Ucl tena kwa bajeti ndogo na ya kawaida tu, ni bahati mbaya wamekosa vikombe kipindi chote hicho nadhani ni uzoefu tu ndio unawasumbua na hili tunaliona hata kwa kocks kwenye league.
Kwa OGS (naheshimu sana kazi yake)
Lakini simuoni kama ni kocha wa kudumu wa Man u, Ogs amechukua timu kipindi ambacho kila mchezaji alishamchoka kama si kugombana na Mou, Morali ya timu ilikuwa chini kupita maelezo... ilifikia kipindi hata Man u ikicheza na Crystal palace mtu unaangalia mpira kwa kutetema kwa hofu ya kufungwa muda wowote.. Hili Ogs amelitumia kama fulsa ya kuinyanyua timu.. So ni kama Ogs amewaruhusu tu wachezaji kufanya wanachokita uwanjani.. lakini kwahakika mpaka leo bado hajapandikiza zile mbinu za kocha ambazo kila mtu ataona hapa bila kocha flan pengine tusingeshinda.. ama tungefungwa.
Ukitaka kuliona hili kwa uwazi hebu angalia pale man inapocheza na timu za top 5 kwenye league na mechi mbili za psg. Utaona wazi kwamba licha ya kwamba timu inashinda lakini inapata shida sana kuupata ushindi huo kitu ambacho hakikuzoeleka kipindi cha babu feggie.. unajua kama tunataka timu ifanye vizuri tusimpimie Ogs na hawa kina Macho,Lvg na Mchonga.. kipimo sahihi kwa Ogs kiwe kwa Feggie. Ogs mpaka sasa bado hajafanya usajiri wowote licha ya hapo January kuwepo kwa dirisha la usajili na namna timu ilivyokuwa sote tunafahamu. So kwa namna nyingine namuona ni muoga anaogopa lawama.
Nikisema haya si kwamba simuheshimu OGS wala kwamba nampinga ila nabaki palepale kwenye point yangu kwamba ninaona si kocha sahihi kulinganisha na Poch haya ni maoni yangu mkuu nadhani hata wewe unamtazamo wako... tusilewe sana na huu upepo wa muda mfupi... tukumbuke kunakipindi matokeo ya upepo hupita zinabaki hali ngumu.... sioni shabiki wa kusimama na Ogs pindi tutapopata labda sare tatu mfululizo na vichapo kadhaa... (nyakati hizi zipo) ni kweli tutaendelea kumuunga mkono? Au tunaangalia hapa..... bila kuona kuleeee....
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,
Nilichokiandika nadhani kinaeleweka, ukitembea na kaneno kamojamoja huwezi kuipata pointi yangu ... tatizo mashabiki tuliowengi wa mpira tunapenda mafanikio ya papo kwa papo bila kusahau kunanyakati ngumu.. nadhani hizo zipo... ndiomaana utaona wote hapa wanamshadidia Ogs ila subiri sasa tutoe sare mfululizo na vipigo kadhaa... ndio ninachozungumza hapa je tuko tayari kushikamana na Ogs ktk nyakati hizo au ndo tutaanza out out out...
Kwa jicho langu (Mimi) sioni kama tutakuwa na uvumilivu huo kwa Ogs it's just a matter of time..!! Sifingii na wala simuombei mabaya Ogs...BIG NO naomba nieleweke hivyo.
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,
Nilichokiandika nadhani kinaeleweka, ukitembea na kaneno kamojamoja huwezi kuipata pointi yangu ... tatizo mashabiki tuliowengi wa mpira tunapenda mafanikio ya papo kwa papo bila kusahau kunanyakati ngumu.. nadhani hizo zipo... ndiomaana utaona wote hapa wanamshadidia Ogs ila subiri sasa tutoe sare mfululizo na vipigo kadhaa... ndio ninachozungumza hapa je tuko tayari kushikamana na Ogs ktk nyakati hizo au ndo tutaanza out out out...
Kwa jicho langu (Mimi) sioni kama tutakuwa na uvumilivu huo kwa Ogs it's just a matter of time..!! Sifingii na wala simuombei mabaya Ogs...BIG NO naomba nieleweke hivyo.
UNITED WE STAND
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakati ngumu kila kocha anapitia, Sir Alex alikua nusu afukuzwe kabla ya kushinda kombe lake la kwanza. Lakini walimvumilia kwasababu waliamini anaweza kuleta utofauti.
OGS kajitahidi sana kwa kipindi kifupi na ndio maana watu wanampa nafasi ya kuwa kocha mkuu mwisho wa msimu.
Tukiendelea kuongelea kupitia kipindi kigumu, hivi Epl kuna kocha aliepitia kipindi kigumu kama Pochetino na Klopp kwa top 6? Juzi mwezi wa pili Totenham walikua kwenye mbio za ubingwa, sasa hivi anapigania top 4. Ajashinda mechi 4 mfululizo.
Hivyo ni vipindi vigumu ambavyo shabiki na timu wanatakiwa kuvumilia endapo kocha atakua anaonesha matumaini. Kama kocha mwenyewe haeleweki kama ilivyokua kwa Moyes, LVG na Mourinho ndipo wanapofukuzwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums