Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Iwe mara yako ya mwisho kutukana Mkuu

Turudi mpirani. Barcelona kilichobako ni makumbusho tu.

Sijaona Beki wa kumkaba Lukaku ,Rashford na Martial. Usinitajie Pique na Lenglet (maana utakuwa tu unataka kunichekesha)

Messi na Suarez wa leo ni vivuli wa Messi na Suarez tuliokuwa tunaowafahamu. Ingekuwa miaka 5 iliyopita huyo Messi tungem man mark kupitia Herrera, lakini kwa sasa itakuwa ni kupotezeana muda tu.

Sergio Bosguet hana uwezo wa kudhibiti kiungo ambacho Pogba yupo katikati.

Coutinho na Dembele ni mere replica ya wale jamaa wa Liverpool na Dortmund.

Nikuhakikishie tu kwamba, PSG ya sasa ni bora kuliko Barca



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahh unaweka Ronaldo? Umekosa wa kuweka kwenye squad yako yenye wakina Bailly, Fred na wakina Lukaku?

Sent using Jamii Forums mobile app


Dogo hata hawa wakina bailly na fred hawawez kufungwa na hii barcelona

Hapo ronaldo alikuwa bado hana jina ulaya ndio alikuwa anachipukia kwa kuwa mfinyu wa akili umemuona yeye wakat kuna evra na smith plus carik ubaoni
 
Hizi ndio juhudi za wasio jiweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Special message to arsenal fans from their number one killer😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…