Manchester United (Red Devils) | Special Thread

udhaifu mkubwa wa McTominay ni back na square passes kwani hawamuangaliagi Herrera yani anashindwa hata na Lindelof ambaye ni beki
 
Huyu fred-waa hapa hakuna mchezaji
Ndio maana timu iliyomuuza ilichekelea sana. Walimuuza kwa pesa kubwa wakati wakijua ni garasa.
Ila Wabrazil na Man U sijui wana nini aisee.
Yaan Wabrazil waliocheza Man U angalau kidogo ni Anderson na wale mapacha ila mwingine kuacha Fabio.
Lakini Kleberson alichemsha vibaya mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…