Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Natania tu kiukweli ndio hivo
*NA HUU NDIO MSIMAMO WETU WAMILIKI WA MABANDA UMIZA TANZANIA*
BAADA YA MKANGANYIKO KUHUSU UBAO WA MATANGAZO TUTAANDIKA GAME GANI ZITAKUWA LIVE....
SASA TUMEKUJA NA MSIMAMO WETU KWAMBA TUTA RUSHA GAME MBILI TU.....
*ARSENAL v BOURNEMOUTH*
*BARCELONA v REAL MADRID*
HIZO GAME ZILIZO BAKI MUKAANGALIE HUKO CHUMBANI KWENU NA FAMILIA ZENU... FULL STOP.....
*BY*
*UMOJA WA WAMILIKI WA MABANDA UMIZA TANZANIA*
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua ila mm nataumia supersport ,azam sijajua kama wanaonesha copa de reyCopa del Rey inaoneshwa na king’amuzi gani?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sijajua ila mm nataumia supersport ,azam sijajua kama wanaonesha copa de rey
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itabid wanaoihitaj wa stream tu, leo tupo bize na EPLYa leo haioneshwi na SS
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sijajua ila mm nataumia supersport ,azam sijajua kama wanaonesha copa de rey
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Mungu asikilize lugha za kihuni kama hizi???Mungu saidia zaha amvue chupi olejinga
Uko sahihi mkuu Kuna makocha wa aina tatu, wachukua ubingwa, mid table runners, na wanusuru timu isishuke daraja....Yaan jamaa ndio maana amehisiwa mamluki, anawataja makocha ambao kaz zao ni kunusuru timu zisishuke daraja, yy anakwambia ndio wanafaa kuifundisha man u
Sent using Jamii Forums mobile app
Perreira ni smart kuliko FredMfumo 4 - 4 - 2 , Sánchez na Lukaku mbele.
1. De Gea
2. Dalot
3.Shaw
4.Smalling
5.Lindelof
6.McTominay
7.Young
8.Pogba
9.Lukaku
10.Fred
11.Sánchez
SUB: Romero, Baily, Tahith Chong, Jimmy Garner , Ángel Gómez, Pereira, Rashford.
Duuh hapo unaweza kutengeneza team ya majeruhi.Confirmed injuries from Ole press conference
Lingard,martial,mason greenwood,mata,rashford,herera,matic,jones,damian and valencia
will £50m start tonight ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe vijana wasituangushe tu.Pamoja na majeruhi mengi yanayoikabili timu yetu bado naamini leo inaweza kupata ushindi japokuwa palace ni timu ngumu hasa inapokuwa nyumbani. View attachment 1033630
Ni kweli hilo ni la muhimu sana ggmu.Tuombe vijana wasituangushe tu.
Nimeikumbuka ile MU iliyocheza fanal za uefa ndogoConfirmed injuries from Ole press conference
Lingard,martial,mason greenwood,mata,rashford,herera,matic,jones,damian and valencia
will £50m start tonight ?
Sent using Jamii Forums mobile app