Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu yetu inavyocheza upande wa kulia unakuwa amna kitu kabisa..tungepata mtu sahihi hili eneo tungekuwa hatari sana kule mbele..

United Fan
 
Timu yetu inavyocheza upande wa kulia unakuwa amna kitu kabisa..tungepata mtu sahihi hili eneo tungekuwa hatari sana kule mbele..

United Fan

Kabsa, shida ni kwamba mara nyingi huwa tunamuweka Mata au Lingard nafasi hio, wachezaji ambao kiuhalisia sio mawinger wote wanafaa zaidi wakicheza kama n.o 10, nadhani ndo maana kuna kipindi Mo alikuwa anamtaka Perisic..
 
Kabsa, shida ni kwamba mara nyingi huwa tunamuweka Mata au Lingard nafasi hio, wachezaji ambao kiuhalisia sio mawinger wote wanafaa zaidi wakicheza kama n.o 10, nadhani ndo maana kuna kipindi Mo alikuwa anamtaka Perisic..
Sure,angalia timu kama Man city..Bernado silva yupo kulia na sterling kushoto..timu inawavuta mabeki pande zote na balance inakuwa poa sana na unpredictable..sisi kutacheza upande wa Martial tu muda mwingi

United Fan
 
Sure,angalia timu kama Man city..Bernado silva yupo kulia na sterling kushoto..timu inawavuta mabeki pande zote na balance inakuwa poa sana na unpredictable..sisi kutacheza upande wa Martial tu muda mwingi

United Fan
Inawezekana kwa Marcus kucheza kulia, huku Sanchez au Lukaku akawa central striker.
 
Inawezekana kwa Marcus kucheza kulia, huku Sanchez au Lukaku akawa central striker.
Utawapangaje wachezaji ambao hawaperform i.e Sanchez na Lukaku..na kuwategemea??

Solution ni moja tu,,kuingia sokoni..navyoona mimi

United Fan
 
WONDERS WILL NEVER END, Kila mtu anamuweka bench Lukagoals
 
ilituchukua miaka miwili na nusu pamoja na kocha mpya kupata kikosi cha kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…