Huyo Chong kupata namba kikosi cha kwanza cha Man Utd asahau..!Naona pamoja na kusafiri na Chong lakini hayupo kikosini, sio mbaya kusafiri tu na kikosi inampa mchezaji exposure ya aina yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezekano wa kupata namba upo ndio maana amesafiri nayeHuyo Chong kupata namba kikosi cha kwanza cha Man Utd asahau..!
Next season wamtoe kwa mkopo tu..!
Tatizo watu anaogombea nao namba sio wepesi kaka,pia bado wana umri mdogo...Uwezekano wa kupata namba upo ndio maana amesafiri naye
Kumbuka Mourinho alienda naye pre season USA
OGS ameenda naye Dubai
Na amecheza FA game ya Reading. Tena aliingizwa wakati game bado ni tight japo tulikwa tunaongoza goli 2
Pia inasemekana, OGS amegoma kuwatoa kwa mkopo yeye na Gomes January
Kwahiyo inaonesha dogo yupo kwenye mipango ya club na kocha wa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Solskjaer on Jones' new deal :
“Phil knows what it takes to be a Manchester United player, he has won the Premier League, FA Cup and Europa League and is now one of the senior players within the team.
“He is coming up to his 27th birthday and entering into his prime years as a centre half. We are delighted Phil has committed his future to the club.”
- ole gunnar ameyazungumza maneno haya kama nani?
- nakusudia je amehusika kwenye mazungumzo ya kupewa mkataba mpya kwa phil jones haliyakuwa ana miezi miwili tu tokea aanze kazi?
- kama hakushirikishwa kwa nini ameamua kuzungumza stori isiyomuhusu, wakati upande wa pili maurizio sarri alinukuliwa akisema ya kwamba hafahamu chochote kuhusiana na usajili wa pulisic kutoka dortmund?
- kama ishu ni kuifahamu timu basi hata antonio valencia anastahili kandarasi mpya, hivi kuna mwanadamu anayemshinda antonio valencia kwa kutumikia muda mrefu pale klabuni?
- je inawezekana maneno ya OGS juu ya phil jones ni tafsiri tosha ya kwamba jamaa ndiye kocha mpya wa manchester united anayesubiriwa kutangazwa na ndio ameshaanza kazi rasmi ya kujenga timu kwa ajili ya msimu ujao?
- kama sivyo kitatokezea kitu gani endapo kocha ajae atawakataa wachezaji aina ya ashley young, phil jones, smalling haliyakuwa wote wameshapewa kandarasi mpya?
- je inawezekana ed woodward anatudanganya pindi anapodai ya kwamba manchester united ina uwezo wa kumsajili mchezaji kwa gharama yoyote bila ya kuleta athari yoyote ya kifedha ndio maana ameamua kukimbilia kuwapa mikataba mipya wachezaji aina ya smalling, jones, young, mctominay kwa sababu hatuna uwezo wa kutafuta wachezaji watano au zaidi kwa dirisha moja kwa ajili ya kuziba nafasi zao ?
- hivi tuna uhakika gani kama ujio wa football director utaondoa matatizo ya klabu kwenye ishu za usajili wakati kisheria mwenye mamlaka ya kimaamuzi bado yatabaki kwa ed woodward ambaye ndiye CEO?