Akiwafunga hao jamaa itakuwa nzuri kwetu hasa tukifanya vizuri kwenye game zetu maana tushaanza punguzwa kasi.kesho ni must win game ,
And please City shinda mechi hizo mbili (vs arsenal &Chelsea), halafu sisi tutafanya kitu Feb 24(vs Liverpool).
'Nina wasiwasi na huyu city kwenye hizi mechi mbili, Mara huyo kapigwa na arsenal.'
ANYWAY hebu tushinde mechi zetu kwanza. Let's go OLE's ARMY.
Aliekutangulia juu lazima uombe afanye vibaya wakati wewe unashinda maana wote mkiwa mnashinda ni ngumu kumkuta kwa kuwa ameshakuacha kwa points.Leo ni lazima tushinde hatuna time ya kuwaombea wapinzani wapoteze tufanye yetu wengine watajuaje wenyew wakifungana ata 10 bila sawa tu ili mradi sisi tume secure 3 points.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mambo ya kuwa waganga wa jadi hayafai tushinde kwanza ndio tuanze kuomba hayo mengine so far we have that quality of winning many games as long as team yetu itacheza vizuri na mapunguf yakiwa kidogoAliekutangulia juu lazima uombe afanye vibaya wakati wewe unashinda maana wote mkiwa mnashinda ni ngumu kumkuta kwa kuwa ameshakuacha kwa points.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah upo sahihi kwa timu kama Chelsea ambayo tutacheza nayo mbeleni lakini arsenal tushamalizana nao so we must wish them bad luck ambacho ni kawaida kwenye game. Angalia tulipokua wakati Jose anaondoka kama sio kufanya vibaya hawa jamaa kwenye mechi zao tusingekuwa karibu nao pamoja na kushinda kwetu mechi zote hizo under OGS.Mzee mambo ya kuwa waganga wa jadi hayafai tushinde kwanza ndio tuanze kuomba hayo mengine so far we have that quality of winning many games as long as team yetu itacheza vizuri na mapunguf yakiwa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal kwenye ligi hatujamalizana nae bado..ile ilikuwa FA cupYah upo sahihi kwa timu kama Chelsea ambayo tutacheza nayo mbeleni lakini arsenal tushamalizana nao so we must wish them bad luck ambacho ni kawaida kwenye game. Angalia tulipokua wakati Jose anaondoka kama sio kufanya vibaya hawa jamaa kwenye mechi zao tusingekuwa karibu nao pamoja na kushinda kwetu mechi zote hizo under OGS.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kinisahihishaArsenal kwenye ligi hatujamalizana nae bado..ile ilikuwa FA cup
Nanaa
Leo unatoa draw na msaada utakua bureLeo city anatusaidia kutupigia aseno halafu sisi tutamsaidia city kumpigia liverpool
Tunashindana na Arsenal sawa ila roho yangu haiwapendi City for sure. Siwezi ficha. Samahani fellow fans!!Leo city anatusaidia kutupigia aseno halafu sisi tutamsaidia city kumpigia liverpool
Which thing??Have a feeling Leicester could get something against United today.
Kikosi kipo on point..vijana wapambane tumalize mechi mapema..