Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,562
- 21,516
Hahahaha ameshakuwa muke wenu halali sasa..Arsenal kama tumewatolea mahari vile,,tunajipigia tu
Sema Young aondoke kwenye timu..ameshachoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikosi cha Chelsea hakikuwa na hari kama Man united.Wanajisahau sana hawa,juzi tu katoka kuliwa mbili nunge. Kashasahau.
Tunajua mpira ni magoli lakini msijidanganye kuwa mpo vizuri. Mvua za kiangazi zikikatika mtakuja kutafutana kwa mara nyingine. Nimeangalia kwa kuibia but wapenzi wenu (wanaoujua sio hawa wa JF) wanasema tofauti ilikuwa nyie kuwa clinical na Arsenal kuwa butu middle na mbele.Kama vipi hili kombe watupe tuu, kwani awamu hii ya Ole Gunnar hakuna kufungwa wala kutoka sare
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo utofauti mdogo ndio unaoleta ubingwa wa uefa,league,fa,na carabao.Tunajua mpira ni magoli lakini msijidanganye kuwa mpo vizuri. Mvua za kiangazi zikikatika mtakuja kutafutana kwa mara nyingine. Nimeangalia kwa kuibia but wapenzi wenu (wanaoujua sio hawa wa JF) wanasema tofauti ilikuwa nyie kuwa clinical na Arsenal kuwa butu middle na mbele.
Kwa hiyo ngapi ngapi mkuu?Tunajua mpira ni magoli lakini msijidanganye kuwa mpo vizuri. Mvua za kiangazi zikikatika mtakuja kutafutana kwa mara nyingine. Nimeangalia kwa kuibia but wapenzi wenu (wanaoujua sio hawa wa JF) wanasema tofauti ilikuwa nyie kuwa clinical na Arsenal kuwa butu middle na mbele.
Imenibidi nicheke maana style yake ya kusindikiza mashambulizi......kama namuona vile 😀Sasa fikiria mbappe ndio anakabwa na young
Yaani kuangalia Man U vs PSG ni kama kuangalia 'horror movie' !Imenibidi nicheke maana style yake ya kusindikiza mashambulizi......kama namuona vile 😀
Mnapenda sana hizi Ibada za sanamu, United inasonga mbele, haitakaa ikutwe na Ibada zenu hizoTunajua mpira ni magoli lakini msijidanganye kuwa mpo vizuri. Mvua za kiangazi zikikatika mtakuja kutafutana kwa mara nyingine. Nimeangalia kwa kuibia but wapenzi wenu (wanaoujua sio hawa wa JF) wanasema tofauti ilikuwa nyie kuwa clinical na Arsenal kuwa butu middle na mbele.
Njia pekee ya kumzuia PSG ni kupitia wale viungo wanaotoa pasi za mwisho kwa kina Mbappe.
PGS inakuzwa sana. Sidhani km ina ubora kuliko Juve au Liverpool na benchi lao la ufundi ni la kawaida. Kuna mabenchi ya yanatisha kuliko hata wachezaji
Victor amebadilika kwakweli. Amekuwa wa tofauti pale kati. Huwez amini ndio huyu alikuwa anacheza fyongo chini ya mou100% tackles won
100% aerial duels won
82% pass accuracy
9 clearances
1 block
0 fouls
IcemanView attachment 1005028
Sent using Jamii Forums mobile app
Maiti ya kiswahili haikosi sababu ndugu yangu utasikia amerogwa na bibi flan
Wachezaji wameelewana mno na kocha, ndio uzuri wa teamworkMaajabu Yanaendeleaaaa...
GGMU
.