lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,363
- 25,456
Hilo ni swali wala sio maono?NATAMANI KUWAAMBIA KUWA LEO USIKU NIMEKULA WALI KUKU ILA NAONA AIBU, WALE AMBAO VYUMA VIMEKAZA WATANIONA MPIGA DEALS BURE
SASA NGOJA NIJIKITE KWENYE KUCHANGIA HOJA, MIMI NINA MAONO AMBAYO HUENDA YAKAJA KUWA KWELI....... ...........JE KUNA CONNECTION YOYOTE YA MAFANIKIO YA ZIZZOU ALIYOYAPATA PALE MADRID NA ATAKAYOPATA OGS NDANI YA MAN U?? HAYO NDIO MAONO YANGU
----------------------
Jibu:
OGS anamtegemea sana Fergusson, akilazwa tena hospitalini basi hana wa kumtegemea. Take my word, OGS hatawaweza mikiki mikiki na misifa na utoto wa akina Pogba na wale watoto wanaoendelea kukua, yaani akina rashford na wenzake