Nani anabisha hilo,ukweli hii ndio mojawapo ya timu ya Manu mbovu kwa miaka karibu 20, hii timu mbovu yenye viungo wazee kama Giggs,Scholes na mchovu Carick.Defence ya kina Ferdinand ambae kachoka na Evans,lakini nashangaa ilikupa kipigo kitakatifu cha goli 8