Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuzidi kumuombea
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mech tunamhitaji sana martial mech ya leo ilikuwa ngumu sana wale jamaa hawakupi nafasi kidogo martial alibanwa sanchez aingie kipind cha pili
Hivi huyu fred kwanini hachezi ole kagundua nini toka kwake toka acheze ile game moja tu?
 
Hivi huyu fred kwanini hachezi ole kagundua nini toka kwake toka acheze ile game moja tu?
Fred bado hajawa vizur hasa upigaji wa pasi na kuanzisha mashambulizi ukiangalia hererra na matic saiv wanapeleka sana timu mbele
 
Daaa Sanchez utadhani amesahau kucheza mpira sasa anajaribu kujikumbushakumbusha. Hongera sana kwa timu yetu kucheza vizuri na kupata ushindi mzuri sana. Angalau Leo clean sheet imepatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda ulipokwenda nilimuona anaanza kurudi katika hali yake ya kujiamini sanchez baada ya mech chache atakuwa poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…