Mc cane JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 5,569 Reaction score 10,527 Dec 26, 2018 #98,581 Yodoki II said: Namwona Matic akichoka sana leo na defence kuwa exposed. Herera ni muhimu kuimarisha kiungo. Click to expand... Fred pia anaweza kufanya majukumu ya Herrera japo hata mimi ninamuamini zaidi Herrera Kipindi hiki kuna mechi nyingi, kwa hiyo watu kama Ander lazima wapumzishwe kwenye mechi kama hii, huwezi kumpumzisha mechi ya Spurs kwa mfano
Yodoki II said: Namwona Matic akichoka sana leo na defence kuwa exposed. Herera ni muhimu kuimarisha kiungo. Click to expand... Fred pia anaweza kufanya majukumu ya Herrera japo hata mimi ninamuamini zaidi Herrera Kipindi hiki kuna mechi nyingi, kwa hiyo watu kama Ander lazima wapumzishwe kwenye mechi kama hii, huwezi kumpumzisha mechi ya Spurs kwa mfano
moreta JF-Expert Member Joined Oct 11, 2015 Posts 296 Reaction score 572 Dec 26, 2018 #98,582 Mbona kama game ya leo itatua matokeo ya ajabu
Y Yodoki II JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 5,517 Reaction score 4,008 Dec 26, 2018 #98,583 moreta said: Mbona kama game ya leo itatua matokeo ya ajabu Click to expand... Hata mimi naiona kudorola. Kutokana na hali yetu hakuhitaji cha rotation, inatakiwa full mziki ku-restore confidence.
moreta said: Mbona kama game ya leo itatua matokeo ya ajabu Click to expand... Hata mimi naiona kudorola. Kutokana na hali yetu hakuhitaji cha rotation, inatakiwa full mziki ku-restore confidence.
severinembena JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 2,435 Reaction score 2,402 Dec 26, 2018 #98,584 Jamani huwa tuna bahati mbaya sana kwenye game za boxing day,tuombe Leo hili gundu litoke
Inartia JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 1,284 Reaction score 1,305 Dec 26, 2018 #98,585 Matic 1, twende kazi
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Dec 26, 2018 #98,586 Kwanini Martial hayupo kwenye list?
Inartia JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 1,284 Reaction score 1,305 Dec 26, 2018 #98,587 moreta said: Mbona kama game ya leo itatua matokeo ya ajabu Click to expand... Ramli zako si utawala wa OGS
moreta said: Mbona kama game ya leo itatua matokeo ya ajabu Click to expand... Ramli zako si utawala wa OGS
Betri yenye chaji JF-Expert Member Joined Dec 27, 2012 Posts 743 Reaction score 643 Dec 26, 2018 #98,588 Kwa tunaotumia Mobdro au TvTap ni chaneli gani inaonyesha game ya Man untd?
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Dec 26, 2018 #98,589 Kwa kukumbusha tu, Leo ndiyo tunamaliza mzunguko wa kwanza.
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,123 Dec 26, 2018 #98,590 Anaye elewa Fred anacheza nini anielekeze kidogo
Inartia JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 1,284 Reaction score 1,305 Dec 26, 2018 #98,591 Inafurahisha na kutupa matumaini makubwa jinsi timu inavoshambulia
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Dec 26, 2018 #98,592 Philipo D. Ruzige said: Anaye elewa Fred anacheza nini anielekeze kidogo Click to expand... Ata wagharimu huyu Fred asipojirekebisha
Philipo D. Ruzige said: Anaye elewa Fred anacheza nini anielekeze kidogo Click to expand... Ata wagharimu huyu Fred asipojirekebisha
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,893 Dec 26, 2018 #98,593 Philipo D. Ruzige said: Anaye elewa Fred anacheza nini anielekeze kidogo Click to expand... First half hii sijamuelewa kabisa kijana naona kapwaya sijui jana alikula sana pilau
Philipo D. Ruzige said: Anaye elewa Fred anacheza nini anielekeze kidogo Click to expand... First half hii sijamuelewa kabisa kijana naona kapwaya sijui jana alikula sana pilau
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,933 Reaction score 25,245 Dec 26, 2018 #98,594 Itakuwa ndio goli la kwanza la Matic tangu aje Man united.
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,611 Reaction score 4,119 Dec 26, 2018 #98,595 Pogbaaaaaaaa
dhk1 JF-Expert Member Joined Jul 22, 2013 Posts 958 Reaction score 590 Dec 26, 2018 #98,596 Ollachuga Oc said: Itakuwa ndio goli la kwanza la Matic tangu aje Man united. Click to expand... Hapana
Ollachuga Oc said: Itakuwa ndio goli la kwanza la Matic tangu aje Man united. Click to expand... Hapana
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,611 Reaction score 4,119 Dec 26, 2018 #98,597 Its Pogba again 3-0
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Dec 26, 2018 #98,598 Pep amechujuka baada ya Mou kuondoka.
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,536 Reaction score 4,532 Dec 26, 2018 #98,599 Pogba anacheza kwa Furaha zake sasa.
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Dec 26, 2018 #98,600 Rashford Leo ovyo alikuwa siku yake ya kutakata