Captaincy apewe Herrera alafu Pogba awe msaidizi. Licha ya kipaji bado ana utoto Pogba.
😂😂😂 hivi Man u mna shida gani lakini, mbona wepesi wa kusahau... Mara hii mshajiona boraTutakuwa wa tatu this season
Upfront ni Rash mkuu. OG anawapa nafasi watoto wa academy. Sanches atacheza wide role aki-altenate Lingard.Lukaku anafit kwenye hii timu kweli??...why tusimwamini hata sanchez upfront??
Binafsi siioni nafasi yake,lakini ngoja tuone kocha akimpa nafasi atafanya nini??
Vijana walikua wana mgomo baridi, waliotaka atoke ametoka mpira wa jana was impressivehivi Man u mna shida gani lakini, mbona wepesi wa kusahau... Mara hii mshajiona bora
Zile assists za Pogba unaweza kuziombea mkopo NMB,CRDB , BOA, vicoba nkGoals from immature Rashford, Lingard and Martial.
Assists from virus Pogba.
Nitajie mechi ambayo Mourinho aliongoza team kushinda magoli matano.Bora wewe umenena vyema Mkuu, afu hii staili ya kuongea sana kumbe Man U nao huwa wanayo?
Mi nadhani Arsenal ndiyo huwa wanayo kumbe hadi hawa mashetani wekundu?
Ukiisoma hii interview unaona tofauti ya yule jamaa na Huyu wa sasa.Manchester United manager Ole Gunnar Solskjaer hints at new roles for Paul Pogba
Ole Gunnar Solskjaer says he is prepared to play Paul Pogba in three different roles after his 'excellent' performance in Manchester United's 5-1 dismantling of Cardiff.
Pogba provided assists for Ander Herrera and Jesse Lingard as United scored five in a Premier League game for the first time since Sir Alex Ferguson's last match at West Brom in May 2013. France international Pogba started two of Jose Mourinho's last six United matches but was restored to the XI by Solskjaer, who gave Pogba his United Reserves debut in 2009.
United switched to a 4-3-3 at Cardiff, where Pogba was positioned on the left of a midfield trident and supplemented by Ander Herrera and Nemanja Matic. Although that is Pogba's preferred role, Solskjaer suggested the 25-year-old could switch to deeper and more advanced roles in the future.
"There'll be different solutions to different problems that the teams cause us," Solskjaer said. "But Paul is capable of playing as an eight, as a 10, as a six. So he's got quality to play many positions and today I thought he did excellent.
Solskjaer spoke effusively about academy graduates Pogba, Lingard and Marcus Rashford on the eve of the match and Lingard struck twice while Rashford opened the scoring at Cardiff. Anthony Martial, the other forward in United's front three, was also on target and Solskjaer was delighted with how the forwards collaborated.
"Yes, they've progressed," Solskjaer noted. "Jesse was a little kid. Today he's a man. Paul is obviously a World Cup winner so they’ve progressed since I coached them and the link between them, the last goal when Paul slips Jesse through, was fantastic.
"I'm pleased with all of them, every single one of them, but of course it's a threat [to have such players]. When you've got Martial and Jesse Lingard down either side, Rashford up top with Paul supporting them, it's exhilarating to watch and as long as we keep that standard up we'll keep up picking points.
"When you're a Man United player, you want the ball and that’s only of the things you say to them: 'Go and get on the ball’. But in some periods we were too congested, four or five players on top of each.
"So when we get to work a little bit with each other and understand that we can trust each other to do a job, then we can have a little bit more distance and we might even improve.”
Kumbe wewe ni ChelseaHata mimi siwezj kusahau ile mechi mliyobebwa na Web Chelsea tulipowapiga 3-0 half time tukiwa tunaongoza na Juana Mata afu li-Web likawabeba beba kwa penati zake za kijinga kijinga hadi mkadroo 3-3.
Kubebwa kuzuri sana lakini isiwe vise versa is true kwa mpinzani unayecheza naye Ndugu.
Mwenyewe nataman iwe hivyo mkuu.Lukaku anafit kwenye hii timu kweli??...why tusimwamini hata sanchez upfront??
Binafsi siioni nafasi yake,lakini ngoja tuone kocha akimpa nafasi atafanya nini??
Tunazikumbuka ila hazikuwa msimu huu. Zilikuwa msimu wa 2017/2018, mwaka ambao Lukaku alisajiliwa. 4G kwa msimu huu was 2018/2019 ni ile ya 4 kwa 1 dhidi ya Fulham pekee.Wakuu mnazikumbuka 4G za Mou mwanzoni mwa msimu lakini?... Kuweni na akiba ya maneno hata kidogo mana naona mshaanza tayari
Tunazikumbuka ila hazikuwa msimu huu. Zilikuwa msimu wa 2017/2018, mwaka ambao Lukaku alisajiliwa. 4G kwa msimu huu was 2018/2019 ni ile ya 4 kwa 1 dhidi ya Fulham pekee.
Kabisa mtani hata pogba akili inakuwa inawaza vizir zaidiUkiisoma hii interview unaona tofauti ya yule jamaa na Huyu wa sasa.
Hapa kanifurahisha sna kamsifia hapa lazima mchezaji aongeze juhudi maana kocha anamuangalia ujue macho ya wengi ni kwa namna gani pogba atatumika hapo sanchez hajarud kwa spid ya jana tungekuw nae had 7 tungeshindUkiisoma hii interview unaona tofauti ya yule jamaa na Huyu wa sasa.
Hapa kanifurahisha sna kamsifia hapa lazima mchezaji aongeze juhudi maana kocha anamuangalia ujue macho ya wengi ni kwa namna gani pogba atatumika hapo sanchez hajarud kwa spid ya jana tungekuw nae had 7 tungeshind
So he's got quality to play many positions and today I thought he did excellent.
Kweli mkuu jana walijiachia sana nawaza kama bodi ingekubali martial auzwe kwenda chelsea kisha tumchukue willian walahi ilikuwa biashara kichaa kwa upande wetu maana willian 30+ halafu martial under 24 chelsea wangefaidika sana kwa mpira aliocheza jana alikuwa vizur sana tukiimarisha na upande wa mabek mwanga unaonekana.Nakumbuka mwanzoni mwa msimu tuliwahi kujadili na wewe kuhusu ubora wa wachezaji kama Rashford, Martial na Pogba, tukisema hawa wachezaji wangekuwa chini ya kocha mwingine tungewaona ni top class.
Ndicho kinachoenda kutokea.
Mzee mwenzangu kitambo! kwema lakini?This is United, we used to watch!
Swali la kizushi: Wadau Hii vice versa ya Man U sijui ilikuwaje. Ole alikuwa mwanafunzi Wa Ferguson na Phelani sasa hivi wamempa Ole jukumu la kuwa Mwalimu Mkuu na msaidizi wake ni phelan. Kwa nini Phelan asingepewa nafasi ya Ole halafu nafasi ya Phelan akapewa Ole?