No, alikuwa shoulder to shoulder na Cissoko lakini alivyojirusha utadhani amekumbwa na kimbunga na ukweli ukiangalia replay yeye ndo alijigonga kwa mchezaji mwenzake na kujirusha utafikiri amegongana na nini sijui...Ama hutaki Ronaldo hujiangusha hovyo sometime?
No, alikuwa shoulder to shoulder na Cissoko lakini alivyojirusha utadhani amekumbwa na kimbunga na ukweli ukiangalia replay yeye ndo alijigonga kwa mchezaji mwenzake na kujirusha utafikiri amegongana na nini sijui...Ama hutaki Ronaldo hujiangusha hovyo sometime?