Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakat msimu uliopita hizo ndo goli aliruhusu mashindano yote
Tatizo la kocha kuwaza ulinzi tu,msimu wake wa kwanza na wapili timu ilikuwa na tatizo dogo tu,tatizo lilikuwa kwenye kumalizia.

Kama unakumbuka msimu wa kwanza MUFC ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana ila tatizo lilikuwa kwenye umaliziaje. Sasa sijui alikuwa anatafuta CB kwaajili ya kumalizia?

Huyu jamaa ni wakutimulia mbali tu😀😀 hata apewe akina Toby ataharibu tu. Hakuna beki anayeweza kuzuia dakika 90. Waliweza hivyo akina John Terry tu dhidi ya Munich😀😀😀
 
Mpira Wa man u sio Wa kumpa shabiki furaha hasa tukikutana na timu kubwa
Njia bora ya kudifensi ni kushambulia tu. na si kupaki basi kama falsafa za makocha Wa zamani ,sikuhizi mambo yanebadilika makocha wamekuja na mbinu ya kukabia juu ili kujilinda na wakipata moira mashambulizi huanzia hukohuko but mourinho anatumia mifumo miwili ya kudifensi kwa wakati mmoja yaani....
Zonal marking ,na man to man marking .ampapo wachezaji wachache hupewa majukumu ya kimkaba mchezaji Fulani mfano Young atamkaba Mo salah wakati wengine watakaba katika mfumo Wa zonal marking mfumo ambao unatumika sana katika ligi LA uholanzi na timu ya Real madrid ambao wanautumia vema mfumo huu chini ya beki Sergio Ramos.
Hivyo mourinho na mfumo wake katika zama hizi hana jipya. Hizi ni zama za falsafa ya mabeki wachache na kujaza viungo vingi katikati na kuwa na key player zaidi ya watatu Wa katika mfumo husika na kukaba likiwa ni jukumu la kila mchezaji.
MOURINHO OUT !!!!
 
Perreira,mata fred hiyo ni combination nzur kabisa ya kiungo
 
G.Neville: The board are so naive, giving him (Mourinho) a new contract. Manchester United need to reset. It’s not just the manager, it’s deeper than that. They lost control of the football club when they gave him a contract extension 18 months in.

Gary Neville on Man Utd defence. Like spaghetti bolognese, all over the place.

Gary Neville: The board are incompetent and they simply can’t handle a football club, it’s about time someone who understands football is appointed.

I mean if you’re Paul Pogba watching Matic, Herrera, Fellaini, Fred played the other night, not one of them can pass a football! - Gary Neville.

Roy Keane: If you came down from the moon you would think Manchester United were an average Premier League team. You can’t be too critical. You hope to have a decent run in the cups. Back to the 1980s.

Keane: I’d love to know what the atmosphere is like at the training ground. Is it a happy camp? When you look at their body language, I don’t get the impression they enjoy playing for United. Some of them look disinterested. Is that coming from the manager?

Roy Keane: The recruitment over the last few years at Man Utd has been bad.

Keane on Pogba: Come the summer, you move him on, it’s no big deal, he’s left United before.

Ryan Giggs: We used to have centre-forwards like Cantona who would turn bad balls into good balls. Now we have centre-forwards like Lukaku who turn good balls into bad balls.

Jamie Carragher: When they both came to the league, everyone was talking about the Pep and Jose rivalry. It’s got to the point where nobody even talks about it and that says everything about the situation. #mufc
 
Hivi uliona mane alivyotuliza mpira gambani kama drogba? Hii timu inamuumiza sana De Gea.
Mimi ni shabiki wa liver na kwa kucheza kwangu mpira mtaani nilikuwa golikipa, ki ukweli namuuhurumia sana de gea yaani ni kipa mzuri anaeharibiwa na wachezaji we ndani yaani Allison anaonekana bora kuliko de gea! Hii sio haki
 
Droo kamili:

Manchester United v PSG

Schalke v Manchester City

Atletico Madrid v Juventus

Tottenham v Borussia Dortmund

Lyon v Barcelona

Roma v Porto

Ajax v Real Madrid

Liverpool v Bayern Munich

Mechi za kwanza zitachezwa 12-13 na 19-20 Februari, na mechi za marudiano 5-6 na 12-13 Machi, 2019.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…