Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe Nina uhakika msimu huu hugusi kombe lolote. Achilia mbali top four

Uefa kwako utasikiaga tu kwa Chelsea Man u ..
 
Ndio mkuu lakini sio kwa timu kama Arsenal..
 
Hizi mbwe mbwe kesho zinakwisha.
 
Nawakumbusha tu Chini ya Mzaramo Mourinho timu hauatakuja kuambulia kitu.



Nasubiri Breaking News ya kutimuliwa huyu mgalatia wa mguu mmoja.

GGMU

hahahahahaaaaa mkuu umeendelea kuwa na msimamo ule ule wa konki konki dhidi ya jose mourinho.
Breaking news ya kutimuliwa jose mourinho huenda itakulazimu uisubirie mpaka mwezi wa sita.
  • tunahitaji points 10 kumfikia tottenham hotspurs
  • tunahitaji points 8 kuwafikia chelsea na arsenal
  • inamaana hao wababe wa jiji London kila mmoja anahitajika kupoteza angalau mechi 4 ndipo tuzungumze nao lugha moja na wakati huo huo kiupande wetu uwe ni mwendo wa kusukuma bakora kwa wapinzani wetu kama anavyofanya dereva wa lori.
pale unaposhabikia klabu inayoendeshwa na watu wenye mawazo yanayofanana na mnunuaji wa maembe shambani kwa kutegemea kukodi magari ya FFU.

kheri ya kutimiza miaka 3 ndani ya familia hii tukufu ya JF kwa Damushin,
kama kuna ambaye niliwahi kumkera humu ndani namuomba anisamehe ili nianze mwaka mpya kwa amani ndani ya nafsi yangu, kiupande wangu unapokwisha mjadala na chuki zangu zinamalizikia hapo ila wengine huenda wana tabia za yule mwenye jina jengine la mazishi.

marafiki wameniahidi zawadi ya jogoo mwekundu ifikapo kesho lakini mchinjaji mwenyewe waliyemuajiri vidole vyake vya mikono ni butu.

"I want to play West Ham a difficult match, then go to Swansea for another difficult match. I want the Champions League to start. I want, I want, I'm on fire.
 
Man kesho muwafunge Liverpool....siyo Kila mechi nyie Ni kufungwa tu...eti ukishinda Ni draw. Nasema ivi kesho msipowafunga Liverpool msitegemee ushindi wa aina yoyote kutoka kwenye timu yoyote.

Ahsante. Nawatakia kazi njema ya kuwachinja majogoo
 
Nothing like luck in football. It is a matter of a game approach and how you capitalize in your opponent's defaults/mistakes. timu ya kutisha United ni City tuu, wengine ni juhudi tuu wala siyo quality ya players and tactics
Kesho mzee tunafungwa labda utokee muujiza
 
Man kesho muwafunge Liverpool....siyo Kila mechi nyie Ni kufungwa tu...eti ukishinda Ni draw. Nasema ivi kesho msipowafunga Liverpool msitegemee ushindi wa aina yoyote kutoka kwenye timu yoyote.

Ahsante. Nawatakia kazi njema ya kuwachinja majogoo
Spurs katupiga nyumban city katupiga kweke arsenal kibonde wa wakubwa tume draw nae chelsea walijiamini sana tumesuluhu liverpool tutaweza?
 
Pale Anfield ni pazito sana ila kibishi Man united wataruka nao Tu Liverpool
Katika maisha ya kufuatilia mpira na kutazama hamna mechi ambayo siipendi na huwa na woga kama ya liverpool na manchester united

Nakumbuka mwaka 2012 mshabik wa liverpool ikifika mtanange wa hawa mabwana huwa analazwa anazinduka kesho alikuwa ni mwanamke
 
Man United wameshinda mara 88 dhidi ya Liverpool toka wakutane kwa mara ya kwanza April 28 1894 katika mchezo uliyomalizika kwa Liverpool kushinda kwa magoli 2-0, hadi kufikia leo Man United na Lverpool wamecheza jumla ya game 228, wakitoka sare game 65 huku Liverpool akishinda katika game 75 pekee.
 
please ndugu zetu tunaomba mutushikie huyo mwizi liverpool ili sisi tuje kujipigia kimyakimya tar 29 ili tar 3 city nae akimshikisha adabu sisi tumpeleke rasmi katika nafasi zake alizozizoea.........kesho mimi dua zangu zote zipo kwenu
 
please ndugu zetu tunaomba mutushikie huyo mwizi liverpool ili sisi tuje kujipigia kimyakimya tar 29 ili tar 3 city nae akimshikisha adabu sisi tumpeleke rasmi katika nafasi zake alizozizoea.........kesho mimi dua zangu zote zipo kwenu
Mzee baba wewe arsenal na manchester united tukae chonjo wolves anakuja kwa spidi huko
 
Mzee baba wewe arsenal na manchester united tukae chonjo wolves anakuja kwa spidi huko
mtoto mdogo huyo hawezi hizi mbio yeye anakazia giants but watoto wenzake watamkalisha atakaa panapomstahili mimi huwaga sina shida na hawa machalii wa ligi........si unamuona soton anarusha rusha miguu kule lakini kashaelekea kibra
 
Hongera mkuu kwa kutimiza miaka kadhaa.



Nikwambie kitu Hakuna kocha Mbovu ukanda wa ulaya na vitongoji vyake Kama Mou. Mou anaishi kwa excuse hana zaidi ya hilo. Ukali wa Mou ulikuwa Porto ,Chelsea na inter basi. Timu zingine zote alizopita alienda kufanya ukabaila au uhuni wa Yombo vituka. Kama alishindwa kung'aa na kuwa mafanikio lukuki akiwa Real Madrid na wachezaji mahiri kama Ronaldo,Modric, Benzema, Casilas, Di Maria N.K ... Muhuni huyu hawezi kufua dafu katika timu yoyote duniani. He's no more in his football Quality. Huo ndio msimamo wangu mpaka atakapotimuliwa.



Bahati nzuri niliwahi sema chini ya Mou kila mchezaji ataonekana mbovu. Na imekuwa. Kumbuka Saga ya Pogba, Martial na Leo lukaku.


Narudia tena Lukaku ni moja ya washambuliaji wa kiwango cha juu pale EPL ila chini ya mmakonde Mou anaonekana mbovu. Najua kuna wachache watakuja nizodoa kwahili ila nikiwauliza Lacazete,Gabriel Jesus, Morata na hazard wana magoli mangapi kumzidi Lukaku sijui kama nitapata majibu, Lakini lukaku anaonekana mbovu kushinda wote hao.




Mou should Go before he turns united onto ashes.



Kama kawaida yangu , Naamini huyu mbuzi atatuachia team yetu soon ili turudi kwenye makali yetu, otherwise tutaishia kubinyana points na Watford,westham au Everton.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…