Tatizo jingine ninaloliona kwa Mourinho ni kukosa flexibility..Matic huyu anahitaji kuwa benchi hachezi vizuri kabisa..anacheza too sloppy..,then herrera aingine mahala pake huku wakipea na pogba na fred..naamini tutapata kitu kutoka kwenye viungo hawa..
Haiingii akilini unatumia £50M kusajili mchezaji na nafasi hapewi