Baada ya mechi ya kesho mnaweza kuingia sokoni kumtafuta kocha mpya.. So far September & October yote mna 3 wins( All competitions).Kesho ni do or die for Mourinho. Come on Everton!!
Nimesikia Low wa ujerumani anatafuta benchi la kujikunia na kujinusia .
Huyu dogo huwa anawika mechi 2, 3 then anapotea kwa miezi. Atakuwa kashatimiza mechi zake za kuwika (Newcastle na Chelsea) ataingia likizo muda si mrefuMartial kesho lazima abebe mpira wake {Kwa kufunga Hat Trick}
Huyu dogo huwa anawika mechi 2, 3 then anapotea kwa miezi. Atakuwa kashatimiza mechi zake za kuwika (Newcastle na Chelsea) ataingia likizo muda si mrefu
Mkuu mou si kashasema hawezi kumdrop lukaku, halafu dalot ni majeruhi.Everton ni wakutunyima point tatu OT??..i dont think so
De gea
Dalot Lindelof Chriss Shaw
Fred Herrera Pogba
Mata Rashford Martial
I don't want to see lukaku on the pitch today...
Lukaku ni undropable sio??..basi acha tumuone na huyo jamaa yakeMkuu mou si kashasema hawezi kumdrop lukaku, halafu dalot ni majeruhi.
Jamaa hana mbinu mbadalaLukaku ni undropable sio??..basi acha tumuone na huyo jamaa yake
Dalot ni kweli ana injury aliyoipata portugal
Everton ni wakutunyima point tatu OT??..i dont think so
De gea
Dalot Lindelof Chriss Shaw
Fred Herrera Pogba
Mata Rashford Martial
I don't want to see lukaku on the pitch today...
Hivi hata mpira unaangaliaga kweli au ndiyo na wewe mchambuzi, Robertson anapiga mzigo sana sina wakumfananisha nae pale unitedMkuu unabisha Sababu umeamua kubisha...Mimi sio mashabiki wa Man Wala Liverpool...Ila kwa wachezaji mmoja mmoja Man ipo vizuri ukilinganisha na Liver...
Wewe umeanza kumjua lini Gomez,Robertson,Trent Arnod? Hawa ni chipukizi Wanaanza Pale Liver...Man kocha kashindwa kutengeneza mfumo.
Sijawadharau ila itakuwa ajabu sana tukikosa point tatu leo...Mkuu,kama umetazama mechi za Everton zilizopita kwa timu yetu hii sio ya kuamini sana. Everton wanafunguka,wanacheza vizuri mno.
Matic ukiangalia vizuri anavyocheza ni kama amechoka sasa...Matic na lukaku wanatakiwa wakae benchi kocha wetu anapanga wachezaji kwa mazoea. Nataka kuona sanchez akicheza nafas ya lukaku pale mbele
Mkuu hapa ni lukaku tu rashford,martial na sanchez waanze nyuma yao mata japo sina iman sana na sanchez anapoteza mipira hovyo.Matic na lukaku wanatakiwa wakae benchi kocha wetu anapanga wachezaji kwa mazoea. Nataka kuona sanchez akicheza nafas ya lukaku pale mbele
Matic ukiangalia vizuri anavyocheza ni kama amechoka sasa...
Mkuu hapa ni lukaku tu rashford,martial na sanchez waanze nyuma yao mata japo sina iman sana na sanchez anapoteza mipira hovyo.
Sanches no.Mkuu hapa ni lukaku tu rashford,martial na sanchez waanze nyuma yao mata japo sina iman sana na sanchez anapoteza mipira hovyo.
Ujue mourinho kuna mahali anachemka kuna uwelewano mzur sana kati ya fred na pogba hasa mmoja akicheza 8 na 10 mech ya young boys na wolves hawa watu walikuwa wakisogea juu zaid ilikuwa ni hatar sanaAmpe nafac fred sio kila msimu tunanunua wachezaji kwa pesa kibao halaf wanakaa benchi
Wakicheza martial,sanchez na rashford watakuwa wanapishana mkuuSanches no.