Lukaku anazibia riziki wenzie, Forward wangewekwa watu watatu tu. 9 acheze Rashford, 11 acheze Martial na 7 acheze Sanchez. Jamaa ukiacha Aerial duels hamna kitu kwa sasa hivi
Pale haiwezi kufanywa sub kwasababu team iko chini kwa kufungwa na yey anatafta equaliser,asingeweza kupangua midfield jpokua mata mwshoni hakua akionekna ila alimuamini zaidi kuendelea nae na istoshe speed ya team ndo ilomfanya asibdilishe nje hakuna mchezaji wa kubdili matokeo.
lukaku mnamlaumu tu ila timu haitengezi nafasi za goli ! shots on target nnazokumbuka ni 2 tu martial kapiga nje ya box na ya pogba ! labda kama kuna nafasi za goli kapoteza
Eti oohhh.. Timu imerudisha fighting spirit. Hehee.. Yan mlikua mnataka mponee darajani. Sasa kwa hali hii kwa nini nisiifurahie ile draw. Ningeulizwa huyu kipofu alikupigaje.?
Tukubaliane mchezo wenu wa kawaida na ushindi ni wa bila mipango mnavizia vizia tu, sema tatizo lenu mna midomo sana.
Anyway tukutane the so called FUTUHI league the next day. Poleni sana